Maigizo: Mbunge wa CCM Stellah Manyanya adondoka chini baada ya serikali kutoa Tsh bilioni 81 ujenzi wa bandari ya Mbamba Bay

Maigizo: Mbunge wa CCM Stellah Manyanya adondoka chini baada ya serikali kutoa Tsh bilioni 81 ujenzi wa bandari ya Mbamba Bay

Ana haki ya kudondoka
Akiangalua Mapato ya hilo eneo na kodi zinazokusanywa akilinganisha na hizo alizopewa zinapita mara mamilioni ya pesa wanazokusanya hapo

Anyone wazi wamependelewa mno na ukichanganya kama altonja kapombe kakali kidogo ka mchana lazima adondoke

Hayo macho na huo mkao ni kama kakonyagi kalishatua mwilini
 
Back
Top Bottom