Isolated
JF-Expert Member
- Jul 12, 2022
- 212
- 363
Aisee mnao angalia gemu ya simba nadhan mnaona maigizo na namna match fixing Zinavo kua.. Mechi ya simba na ruvushooting huwaga ni maigizo matupu.. We Uliona wap boko anafunga 😂😂
Yaani wachezaji wa ruvu ni kama wamefungwa Mawe mguuni
Haya kila la kheri Mtaani katika igizo lenu mda huu taifa
Yaani wachezaji wa ruvu ni kama wamefungwa Mawe mguuni
Haya kila la kheri Mtaani katika igizo lenu mda huu taifa