Sasa wewe ndio miongoni mwa mashabiki ambao huwa wanazimia viwanjani kwa sababu ya kuingia na matokeo. Yaani unaanzisha uzi kabisa kwa ajili ya kushangaa eti kwa nini Bocco anafunga magoli? Utapoteza maisha yako kwa pressure za kujitakia, familia yako itabaki na mateso na majonzi bure, labda kama hautegemewi πAisee mnao angalia gemu ya simba nadhan mnaona maigizo na namna match fixing Zinavo kua.. We Uliona wap boko anafunga
Kwaiyo chama ndo mungu wenu bila uyo ni amna kituChama amerudi na moto umerudi. Utopolo wamepoteza network
Hongera kwa kuongoza ligiChama amerudi na moto umerudi. Utopolo wamepoteza network
Network how??? Yaan simba bwana wacheze na ruvu afu watupigie kelele yanga...Chama amerudi na moto umerudi. Utopolo wamepoteza network
Ila hata mimi nimeshangazwa eti na Boco kufunga hat trick! π€Aisee mnao angalia gemu ya simba nadhan mnaona maigizo na namna match fixing Zinavo kua.. Mechi ya simba na ruvushooting huwaga ni maigizo matupu.. We Uliona wap boko anafunga ππ
Yaani wachezaji wa ruvu ni kama wamefungwa Mawe mguuni
Haya kila la kheri Mtaani katika igizo lenu mda huu taifa
Mpaka muda huu wangekuwa wameanzisha nyuzi zaidi ya 20 za match fixing!!Ingekuwa nyie sasa!!!
Hawajiaminigi hao.Mpaka muda huu wangekuwa wameanzisha nyuzi zaidi ya 20 za match fixing!!
Wewe unaijua soka asante. Unamjeshimuje mpinzani kama alivyosema Mkwasa halafu unapanga 3-5-1-1? Ni Sawa na Mtu mwenye kitambi Kikubwa na miguu fito!Huyu Mkwasa nashindwa kujua kwann huwa anashindwa kujifunza siku zote jinsi ya kucheza na Simba. Huwa anafunguka kirahisi sana
au ile ya Ngada fc vs Mtibwa! Maigizo yanaendelea!Maigizo haya ni kama yale ya wiki iliyopita utopolo walipocheza na walima alizeti..