Aisee mnao angalia gemu ya simba nadhan mnaona maigizo na namna match fixing Zinavo kua.. Mechi ya simba na ruvushooting huwaga ni maigizo matupu.. We Uliona wap boko anafunga [emoji23][emoji23]
Yaani wachezaji wa ruvu ni kama wamefungwa Mawe mguuni
Haya kila la kheri Mtaani katika igizo lenu mda huu taifa