Maimartha wa Jesse na bwana yake watapeli mamilion ya pesa

Maimartha wa Jesse na bwana yake watapeli mamilion ya pesa

Mrembo,
Kelele za Chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Wasikutishe hawa. Kama hujatukana mtu hapa basi ni poa tu. Watu wanaweka thread za ajabu sana hapa na hakuna anayepiga kelele. Mfano mtu kaweka eti Master P anaanzisha TV yake USA, so what?? Kwa sababu haikugusa Watz, ilikufa kimya kimya. Ila hii naona watu wameishabikia kweli kweli na huu ni ushahidi tosha kuwa hawa jamaa ni watu maarufu. Kama ni watu maarufu basi hii ni POA kabisa. Umaarufu una gharama zake eti. Ukipata na nyingine wee lete tu. Sana sana ziweke kwenye UDAKU au hata hapa Celebrities. Mtu ukishaingia tu hapa basi ujuwe umekubali kuanza kusoma UDAKU. Utaanza kusoma pumba kama Ohh, jamaa anavaa D&C feki, ohh gari lake la kuazima, ohhh Mzungu wake masikini nk nk. Hapa kama sehemu ya udaku au jokes, ni sehemu ya kuja kupunguza stress. Hakuna issue za maana hapa. Ukitaka za maana basi nenda kwenda siasa, elimu nk. Mrembo weeee, mie masikio yanawasha, lete nyingine 🙂

Hapa siyo sehemu ya udaku wala jokes, na kama una-stress nenda kamwone doctor, nani alikwambia udaku ni dawa ya stress....walewale wa uwazi.
 
Mrembo,
Kelele za Chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Wasikutishe hawa. Kama hujatukana mtu hapa basi ni poa tu. Watu wanaweka thread za ajabu sana hapa na hakuna anayepiga kelele. Mfano mtu kaweka eti Master P anaanzisha TV yake USA, so what?? Kwa sababu haikugusa Watz, ilikufa kimya kimya. Ila hii naona watu wameishabikia kweli kweli na huu ni ushahidi tosha kuwa hawa jamaa ni watu maarufu. Kama ni watu maarufu basi hii ni POA kabisa. Umaarufu una gharama zake eti. Ukipata na nyingine wee lete tu. Sana sana ziweke kwenye UDAKU au hata hapa Celebrities. Mtu ukishaingia tu hapa basi ujuwe umekubali kuanza kusoma UDAKU. Utaanza kusoma pumba kama Ohh, jamaa anavaa D&C feki, ohh gari lake la kuazima, ohhh Mzungu wake masikini nk nk. Hapa kama sehemu ya udaku au jokes, ni sehemu ya kuja kupunguza stress. Hakuna issue za maana hapa. Ukitaka za maana basi nenda kwenda siasa, elimu nk. Mrembo weeee, mie masikio yanawasha, lete nyingine 🙂


Mods ishushe hii kitu chini pale kwenye Jokes/Utani
 
Samahani mbona Ushi umemshikia bango hivyo mrembo? I thought ungesema na kumaliza but mmefika mpaka huku......... taratibu man

Heshima mbele mkuu, MwanajamiiOne! Hapana bwana sijamshikia bango wala nini...nikatika kuweka wazi mambo kulingana na fikira zangu, i do not see if that is a fair treatment, Mlimbwende ana personal grievances na Maimatha...anataka kuweka JF kama kijiwe cha kujadili umbeya...udaku, songombiko you call them....na hii haina tija kwetu. Nashindwa kuelewa wale wanao JF ni kijiwe cha kuondoa stress zao. Kuna issue nyingi sana za kitaifa zimeanzia hapa JF na positive impact imeonekana...sasa hawa akina Mrembo et al wasishushe hadhi ya JF.

Ushi wa Rombo
 
Hapa siyo sehemu ya udaku wala jokes, na kama una-stress nenda kamwone doctor, nani alikwambia udaku ni dawa ya stress....walewale wa uwazi.

Mambo jambo,
Hujambo kwanza wee?? Naona nimekukuna sana. Huyo Mod Invisible kashamwambia Mrembo apete sasa wee hizi kelele za nini? Mtu umekuja hapa July mwaka huu na tayari umeshakuwa mwenyeji na kutaka kuanza kutawala. Ungelikuwa wee ndiyo Mod kazi ingelikuwa kali. Ungelikuwa Mgeruman basi ungelikuwa SKINHEAD na kila siku unatuvalia Mabuti kama yale ya Mgambo na jeans iliyokubana mwili na koti la ngozi jeusi. Nani kakuambia kuwa stress lazima ziende kwa Doctor? Kuna stress nyingine dawa yake ni kuongeza AREA na si kwenda kwa Dr. Hivyo wengine tukija hapa ni kuwa tunaongeza area na hapo kupunguza STRESS. Kwa Dr nenda mwenyewe na msalimie sana. Mwambie hela yangu hivi karibuni asiitegemee. Mwisho kama ndiyo jibu huwa unawaambia wanao au nduguzo, basi nawapa pole sana. Ahhh, meza mate kidogo na kupunguza Jazba utafikiri wee ndiyo mlengwa. Easyyyyyyy!!!
 
. Nashindwa kuelewa wale wanao JF ni kijiwe cha kuondoa stress zao. Kuna issue nyingi sana za kitaifa zimeanzia hapa JF na positive impact imeonekana...sasa hawa akina Mrembo et al wasishushe hadhi ya JF. Ushi wa Rombo

Wakati vita ya 2 ya dunia, mwigizaji na mwimbaji Marlene Dietrich aliyekuwa katokea German na kwenda USA, alifahamika kwa kwenda kuburudisha wanajeshi vitani. Jamaa walikuwa wanapata tano bora na kuja kumsikiliza mama akiimba. Wengine husema kazi na dawa. Kwa kitendo chako cha kuingia katika hii Celebrities forum na ndani ya tetesi, unakuwa tayari umekubali kusoma VITUKO. Nilifikiri watu makini kama wewe hata kufungua humu ndani hutafanya hivyo. Wengine huwa tunaingia kote na hilo kwetu siyo tatizo. Tatizo ni pale mtu anapoanza kutupangia NINI TUSOME au wapi twende kuchangia. Wakati mwingine kama vitu huvifahamu hasa huko kwenye SIASA, heri ukae kimya maana itakuwa aibu.
Watu wote wenye heshima zao HAWATAJADILI hii thread. Ukiona mtu kafungua BAKULI lake na kuanza kubwabwaja hoja zake humu, ujuwe ni WALE WALE. Yeye, mimi na Mrembo ni ndugu moja. Hebu bisha tuone.
 
Mambo jambo,
Hujambo kwanza wee?? Naona nimekukuna sana.

Mimi mzima buheri wa afya, hujanigusa bali umenisikitisha.

Huyo Mod Invisible kashamwambia Mrembo apete sasa wee hizi kelele za nini?

You should start reading between the lines, Invisible hajamwambia apete amemwambia a-mute mpaka hapo atakapoleta ushahidi.

Mtu umekuja hapa July mwaka huu na tayari umeshakuwa mwenyeji na kutaka kuanza kutawala.

Kukaa shuleni muda mrefu siyo tija ya kuwa na elimu kubwa kuliko aliyekaa mda mfupi.

Ungelikuwa wee ndiyo Mod kazi ingelikuwa kali. Ungelikuwa Mgeruman basi ungelikuwa SKINHEAD na kila siku unatuvalia Mabuti kama yale ya Mgambo na jeans iliyokubana mwili na koti la ngozi jeusi.

Asante kwa kunifananisha na watu hawa, siyo kosa lako nikwakuwa muda mwingi unakaa ukisoma na kufuatilia udaku ukupunguze stress.

Nani kakuambia kuwa stress lazima ziende kwa Doctor? Kuna stress nyingine dawa yake ni kuongeza AREA na si kwenda kwa Dr.

Sawa naona sasa umempata dr MREMBO anayekupa huduma ya bure.

USHAURI: Siku nyingine usibadilishe ID yako na kujiita MREMBO ni aibu kwa member wa zamani kama wewe....end of discusion.
 
nasikitika kwamba kuingia kwangu kwenye hii forum na kutoa hoja hii imesababisha malumbano kama haya.
kuna mchangiaji hapo nyuma ameongea jambo la maana na ukweli kwamba watu hawa tunaowaita macelebrity ndio baadae wanakujaga kugombea nafasi mbambali za kisiasa, na ninafikiri wote mtakubaliana na mimi kuwa ili jambo limeshatokea sana ktk nchi yetu. Kwa hivyo kuanikwa kwa vitu kama ivi inasaidia ili hapo baadae tusije tukachagua viongozi ambao sio waaminifu.
kila siku hapa tunapiga makelele kuhusu mafisadi wanavyotuletea matatizo nchini. Sasa nyinyi mnaobishia hii hoja, mnafikiri mafisadi walianzaje?
 
Mimi mzima buheri wa afya, hujanigusa bali umenisikitisha.

Sawa naona sasa umempata dr MREMBO anayekupa huduma ya bure.

USHAURI: Siku nyingine usibadilishe ID yako na kujiita MREMBO ni aibu kwa member wa zamani kama wewe....end of discusion.

Mambo Jambo,
Kama nimekusikitisha kwakweli naomba Msamaha. Sikuwa na lengo la kuleta masikitiko kwa mtu yeyote. Samahani tena na tena.
Juu ya kumpata Mrembo anayenipa huduma ya bure, ni kweli kabisa. Ila umejisahau wewe na ....... Wote katufanya tusahau matatizo yetu na kuanza kujadili hizi Pumba na akina Maimartha. Isingelikuwa hivyo si ajabu tungeliwahi kichupa cha Ze Konyagi. Ndiyo uzuri wa JF. Ni kama wimbo wa R Kelly wa "You are not alone".
Ya kubadili ID, Ha haaaaa Mkuu hapa ume-BOIL. Sijui ndiyo madhara ya winter kuanza huko uliko? Na wewe uwe na moja na si kujiita mara mambo Jambo na wakati mwngine USHIROMBO. Unaongea safi sana jamaa!!!

NB: By the way hivi huyu Maimartha ni nani??
 
You should start reading between the lines, Invisible hajamwambia apete amemwambia a-mute mpaka hapo atakapoleta ushahidi.

ushaidi wa barua au???

Kukaa shuleni muda mrefu siyo tija ya kuwa na elimu kubwa kuliko aliyekaa mda mfupi.

kunapunguza umbumbu!!!

wana jf tujaribu kupunguza jazba na dharau kama umeona mtoa mada hahakidhi mahitaji yako,ushauri wa bure kaa kimya nenda kwa wakubwa kuna mambo makubwa
nilishasema hapo nyuma kuna mada ya waziri mmoja ililetwa hapa na kimada wake..watu wakaishupalia na wengine kama si hao wanaopingana na mrembo waliandika mengi sana,nikashauri acheni kubaguana HJ,wengine wakiandikwa mnawashupalia na wengine mnatangaza vita mmpaka kwa mod, y??????????
tuwe nyuturo jamani itasaidia ,uwezi amini kwa mada hii labda mhusika aliposikia kaamua kumlipa huoni kama mwana jf umesaidia kwa namna moja au nyinginee,,mi nashaurii mwenye waoz lolote leteni hapa jf limuhusu waziiri mrembo invi...nk
tutajadili ukweli utapatikana!!!!ila tuache kutishana na tusisitize hasa kusadidiana ningefurahi kama hao wanaopinga wangekuwa wa kwanza kutafuta ushahidi kama awaamini!!!
kila la kheri na vita hii ya mchangani
 
Udaku wa Mh Masha (waziri) na kimada wake mliu-discuss! Inaelekea kuna aina ya udaku ndani ya JF unaopendelewa na hasa kama unamuhusu kigogo. Jambo muhimu ni kumuelekeza huyo mrembo nini anatakiwa kufanya na wala si kumshambulia kwa maneno. Nina wasiswasi na nyie mnaodai a-post mada za maana mzijadili wakati kumrekebisha kistaarabu mnashindwa. Kweli hivi ndivyo watanzania tulivyo? Samahani kama itakuwa nimekwaza yeyote maana hata mie ni member mpya jamvini.
 
[/I]


We MREMBO we?.., wewe sindiyo uliyeleta hii story hapa..au unadhani hatujakushtukia.
Mambo jambo, Mie na MREMBO ni mtu yule yule, aisee sijui umejuaje? Wee kweli mkali wa IT. Mie ni sawa na wewe ambavyo ni USHIROMBO. Tena naona unapenda sana UDAKU wewe. Unakamata kipande cha habari na kukifanya ndiyo habari kamili. Kwa hili naona hata Mrembo aka MIMI umenipita. Sasa kuuliza huyu dada ni nani imekuwa shida? Anyway, nimeshaliona jina lake kwenye mtandao kuwa ni Mtangazaji wa TV na sura yake iko kwa Michuzi Jr, mhhh dada wa mikorogo huyooo!!! Naona huyu dada ni wewe Mambo Jambo.
Sasa wewe Maimartha aka Ushirombo aka Mambo Jambo, weee na huyu Puff Daddy wako si mrudhishe hizo hela za shangazi yenu? Hela ya Mkorogo unayo ila kurudisha pesa za shangazi huna? By the way kwenye blog ya michuziJr unaonekana kama wale Wayans Brothers kwenye ile film ya WHITE CHICKS 🙂
 
Mambo jambo, Mie na MREMBO ni mtu yule yule, aisee sijui umejuaje? Wee kweli mkali wa IT. Mie ni sawa na wewe ambavyo ni USHIROMBO. Tena naona unapenda sana UDAKU wewe. Unakamata kipande cha habari na kukifanya ndiyo habari kamili. Kwa hili naona hata Mrembo aka MIMI umenipita. Sasa kuuliza huyu dada ni nani imekuwa shida? Anyway, nimeshaliona jina lake kwenye mtandao kuwa ni Mtangazaji wa TV na sura yake iko kwa Michuzi Jr, mhhh dada wa mikorogo huyooo!!! Naona huyu dada ni wewe Mambo Jambo.
Sasa wewe Maimartha aka Ushirombo aka Mambo Jambo, weee na huyu Puff Daddy wako si mrudhishe hizo hela za shangazi yenu? Hela ya Mkorogo unayo ila kurudisha pesa za shangazi huna? By the way kwenye blog ya michuziJr unaonekana kama wale Wayans Brothers kwenye ile film ya WHITE CHICKS 🙂

he he heeeee, hii kali.
 
kweli siku hazifanani watu wengi wameamka vibaya hapa
.....Teh! tehhh!! tehhhhhhh!!! Naima huku kwetu kuna mawingu sana leo sijui ni dalili za kale kamvua au vipi vichwa vingine hupata kizunguzungu maradufu kipindi hiki....
 
Mambo jambo, Mie na MREMBO ni mtu yule yule, aisee sijui umejuaje? Wee kweli mkali wa IT. Mie ni sawa na wewe ambavyo ni USHIROMBO. Tena naona unapenda sana UDAKU wewe. Unakamata kipande cha habari na kukifanya ndiyo habari kamili. Kwa hili naona hata Mrembo aka MIMI umenipita. Sasa kuuliza huyu dada ni nani imekuwa shida? Anyway, nimeshaliona jina lake kwenye mtandao kuwa ni Mtangazaji wa TV na sura yake iko kwa Michuzi Jr, mhhh dada wa mikorogo huyooo!!! Naona huyu dada ni wewe Mambo Jambo.
Sasa wewe Maimartha aka Ushirombo aka Mambo Jambo, weee na huyu Puff Daddy wako si mrudhishe hizo hela za shangazi yenu? Hela ya Mkorogo unayo ila kurudisha pesa za shangazi huna? By the way kwenye blog ya michuziJr unaonekana kama wale Wayans Brothers kwenye ile film ya WHITE CHICKS 🙂

Shigongo chukua hii sikonge AKA mrembo....hii kitu itakusaidia sana pale global publishers. sikonge Managing Editor-UDAKU.
 
Shigongo chukua hii sikonge AKA mrembo....hii kitu itakusaidia sana pale global publishers. sikonge Managing Editor-UDAKU.

Mambo jambo,
Unajua kwa niini kituo cha mabasi huwa kipo baada ya kona? Unajua mawe mazuri kwa ajili ya kutengeneza Concrete? Unajua kiwango cha Lami kinachowekwa wakati wa ujenzi wa barabara? Unajua penetration test na ring test kwenye lami ninini? Pani Mayeshi, karashoo!!!
Kwako wee kila mtu mwandishi wa habari. Mie ni MJENZI. Niite Fundi Mchundo au technician wa kutoka pale Techncal College Arusha kwa Mzee Sambayuka mzee wa Kihehe, Upo hapo. Sipendi na milele sintataka kuwa mwandishi wa habari kama wee. Naiheshimu hii field ila siyo yangu. Maimuna wee, nenda mwenyewe huko sijui wapi? Mie hivyo unavyoandika wala sivijui maana huku SIKONGE hayo makampuni hamna. Njoo uone tunavyolima tumbaku sasa. Salimia mumeo Puff Daddy.
 
Shigongo chukua hii sikonge AKA mrembo....hii kitu itakusaidia sana pale global publishers. sikonge Managing Editor-UDAKU.

FUNDI/MKULIMA SIKONGE.....
Umeshikwa pabaya, ulikurupuka na kuiback-up hii thread, ghafla unauliza huyu anayeongelewa ni nani,sasa unakumbukaje kuuliza NOW wakati wewe ulikuwa unamuongelea hapa before, sasa hayo kama si MAJUNGU, UMBEYA, UDAKU, UPASHUKUNA, UZANDIKI,UKUWADI na UFISADI ni NINI?, kumzungumzia mtu usiyemfahamu.Huyo shangazi yako akirudishiwa pesa yake you can easly ask her for your 10% commission inaonekana tumbaku na ujenzi wa vituo vya mabasi kwenye corner za vibaka HAILIPI sasa umechagua kuwa DEPT COLLECTOR.

Yangu macho.
 
FUNDI/MKULIMA SIKONGE.....
Umeshikwa pabaya, ulikurupuka na kuiback-up hii thread, ghafla unauliza huyu anayeongelewa ni nani,sasa unakumbukaje kuuliza NOW wakati wewe ulikuwa unamuongelea hapa before, sasa hayo kama si MAJUNGU, UMBEYA, UDAKU, UPASHUKUNA, UZANDIKI,UKUWADI na UFISADI ni NINI?, kumzungumzia mtu usiyemfahamu.Huyo shangazi yako akirudishiwa pesa yake you can easly ask her for your 10% commission inaonekana tumbaku na ujenzi wa vituo vya mabasi kwenye corner za vibaka HAILIPI sasa umechagua kuwa DEPT COLLECTOR.

Yangu macho.
Kushikwa pabaya wapi? Wenye utamu au kichwani? Kukurupuka ni wewe umekurupuka. Mie na Mambo Jambo wala hatuna noma. Yeye pia aja humu kupunguza Stress zake. Angelikuwa na kazi ya maana ya kufanya asingelikuja kufungua UPUPU kama huu. Wewe pia umekuja haja waelekea wapenda sana hizi story za KIJINGA. Unajua ukishazoea wabeba Zege, ukiwakosa unawakumbuka na kuja kusoma watu wanavyo-BOIL. Sasa wewe unavamia tu mambo bila kuyajua, ohh nimekuwa mkusanya madeni, mhh angalia ntakusanya hadi dada yako.............................
Na kwa taarifa yako ni kuwa siku nikija Dar, nakuja na MIWANI yangu Special na ntakuja niwapekue wewe na huyo Mambo Jambo aka Ushirombo aka Maimartha. Ukitaka kujua miwani yangu ikoje, hebu angalia hii video maana hawa jamaa niliwaazima na kwa mbali unaweza kuniona na mimi ndani ya hii Music clip. Ninachotaka kujua kama huu Mkorogo wa Maimartha uko mwili mzima au ni usoni tu. Msalimie bwana wako Puff Daddy.
[media]http://www.youtube.com/watch?v=dlf6n7IzZYk[/media]
 
Back
Top Bottom