Maimu wa NIDA na wenzake wafutiwa kesi zote

Maimu wa NIDA na wenzake wafutiwa kesi zote

Inevitable

Senior Member
Joined
Apr 27, 2012
Posts
111
Reaction score
277
Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka.

Kinachoshangaza kidogo, hakukuwa na watu wa media maana imefanyika closed chamber.

maimu.jpg
 
Magufulinalikuwa na roho ya ajabu sana.
Mungu amueke anapo stahili.

Kumbe alionewa sana huyu jamaa na hakuwa na kosa lolote kabisa? Na hana kosa lolote kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.

Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.

Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
 

Dickson Karibu Eagle Wings Tena, Ila Kama Vile Umeshakoma Kulitumikia Taifa

 
Kumbe alionewa sana huyu jamaa na hakuwa na kosa lolote kabisa? Na hana kosa lolote kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alie wekwa na Magubhaja wahi kutoa kitambulisho hata kimoja. Mwaka wa tano sasa watu wana namba tuu hawana ID.
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka...
Changisha ... ukipata laki ni cc nitaongeza laki!!
 
Jela ni kwa ajili ya wezi wa kuku na wanaotia mimba wanafunzi, hukumu ya miaka 30 huwa ni kugusa tu.
 
Back
Top Bottom