Maimu wa NIDA na wenzake wafutiwa kesi zote

Maimu wa NIDA na wenzake wafutiwa kesi zote

Karibu tena magetini meusi.....maliza muda wako upumzike
 
Karibu uraiani Maimu, uendeleze baa na lounge yetu ya MRC mikocheni,
Kayombo karibu five way bar mikocheni tukutoe vumbi la gerazeni keko,
Haki haipotei,
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Wewe jamaa akili zako zipo matakoni,sasa issue ya Maimu inahusiana nini na issue ya Jambazi Sabaya??eti Mzalendo Sabaya daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]yupo Jela ya Karanga pale Moshi nenda kamuone,na DPP kakata Rufaa Kesi ya Arusha ile,kaa kwa kutulia
 
Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka.

Kinachoshangaza kidogo, hakukuwa na watu wa media maana imefanyika closed chamber.

SAFI SANA WACHA WAKALE PESA ZAO WALIZOZIPIGA na KAZINI WARUDISHWE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Naona soon tutamuona tena kwenye hotel yake ya mrc mikocheni

Ova
 
MM
Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka.

Kinachoshangaza kidogo, hakukuwa na watu wa media maana imefanyika closed chamber.


mimi mambo ya nchi hii yananichosha sana na kwa nn wanawapeleka mahakamani kama hawana ushahidi kutosha?wanaanza kwa mbwembwe kuwachafua watu na wanaishia kwenye vibaraza vya siri.rushwa katika nchi hizi za kiafrika hazitaisha hata siku natamani tupate dikteta mwingine tena.
 
Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka.

Kinachoshangaza kidogo, hakukuwa na watu wa media maana imefanyika closed chamber.

Ccm ni mafii
 
Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka.

Kinachoshangaza kidogo, hakukuwa na watu wa media maana imefanyika closed chamber.

Basi kwa namna ya pekee kabisa! Nichukie nafasi hii kuwakaribisha rasmi uraiani, kuja kulamba asali.
 
sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wilaya ya HAI iwe ya 4
 
MM


mimi mambo ya nchi hii yananichosha sana na kwa nn wanawapeleka mahakamani kama hawana ushahidi kutosha?wanaanza kwa mbwembwe kuwachafua watu na wanaishia kwenye vibaraza vya siri.rushwa katika nchi hizi za kiafrika hazitaisha hata siku natamani tupate dikteta mwingine tena.
Nchi ndomana upigaji,uwizi hauwezi isha....bila kumfunga mtu maisha au kmnyonga uwizi utazidi kufanyika

Ova
 
Hivi kweli kabisaaa, kweli kabisaa jamani kuna kiongozi kama magu?!
Acheni ukweli usemwe jamani,
Msema kweli ni mpenzi mungu
 
Kumbe alionewa sana huyu jamaa na hakuwa na kosa lolote kabisa? Na hana kosa lolote kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi imerudi kwa walaji usijifanye hujui.
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.

Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.

Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Nchi hii imejaa vijana wa hovyo sana!! Lissu, Chadema, ndege, bwawa la umeme, elimu bure na mengine mengi uliyosema - hayahusiani na mada ambayo ni Maimu kuachiwa huru. Nilidhani ungekuwa mwerevu na kusema labda ameachiwa kimakosa na hivo DPP apinge kwa rufaa (kama ilikuwa ni uamuzi wa Jaji/Hakimu) au kushauri DPP afungue mashtaka mapya (kama kulikuwa na technical deficiencies kwenye kesi na wakasema hawana nia ya kuendelea na kesi).

Chuki zako kwa Chadema/upinzani na/au upendo wako kwa Sabaya unaelekeza mada yako kwa swala la Maimu!
"A place for everything and everything in its place" - Benjamin Franklin.
 
Back
Top Bottom