ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kada mnazoongoza kujiua ni watu wa Afya madaktari, watu wa fedha TRA mna mshahara mkubwa ila bado mnajiua.. Watu wa usalama mapolisi na jeshi nao mnakufa kufa mnajiua. Mainjinia hakuna Kujinyonga ni wanakula tu maisha hawamsikii Profesa Janabi wanakula na kunywa na kucheza mziki.