Mainjinia hawana stress

Mainjinia hawana stress

Kada mnazoongoza kujiua ni watu wa Afya madkaktari , watu wa fedha TRA mna mshahara mkubwa ila bado mna Jiua.. Watu wa usalama mapolisi na jeshi nao mnakufa kufa mnajiua.. Mainjinia hakuna Kujinyonga ni wanakula tu maisha hawamsikii janabi wanakula na kunywa na kucheza mziki.
Mkuu....
Jana ulitoka bar saa ngapi..??
Maana nikama bado unamning'inio...teh😜
 
Kada mnazoongoza kujiua ni watu wa Afya madkaktari , watu wa fedha TRA mna mshahara mkubwa ila bado mna Jiua.. Watu wa usalama mapolisi na jeshi nao mnakufa kufa mnajiua.. Mainjinia hakuna Kujinyonga ni wanakula tu maisha hawamsikii janabi wanakula na kunywa na kucheza mziki.
Joni ntumie korosho basi ndugu yangu 😊
 
Shurba wanazokutana nazo site zimewapa uzoefu kukabiliana na aina yoyote ya shurba.
 
Mwanetu unalewa Alhamisi unafanya kazi wapi?
Au ndio ulikabidhi lindo sasa umerudi kitaani?
 
Back
Top Bottom