Mainjinia wa JF, haka mnakadiria katanigharimu shingapi hadi kumaliza?

Mainjinia wa JF, haka mnakadiria katanigharimu shingapi hadi kumaliza?

Kuna mwamba mmoka alitoa kaformula kazuri saana kale, hasa kwenye kujenga ukuta, bahati mbaya ile screenshot niliipoteza nautafuta saana ule uzi.
 
Sahihi, ila si kuna ule ujenzi wetu uleee... Ila pia inategemea anajenga wapi.
Raha ya nyumba ni finishing, sio unaamua kujenga halafu unaibania nyumba kwa kutoifanyia finishing nzuri hadi ukifika unahisi upo msikitini.

Kuhusu mahali pa kujengea, naona gharama hazitofoutiani sana maana vifaa vya ujenzi bei ipo juu kuanzia, Dar na dodoma sasa sijajua kwa mikoani kama kuna unafuu.
 
Raha ya nyumba ni finishing, sio unaamua kujenga halafu unaibania nyumba kwa kutoifanyia finishing nzuri hadi ukifika unahisi upo msikitini.

Kuhusu mahali pa kujengea, naona gharama hazitofoutiani sana maana vifaa vya ujenzi bei ipo juu kuanzia, Dar na dodoma sasa sijajua kwa mikoani kama kuna unafuu.
Sahihi, by the way umeadimika mkuu. Kwema?
 
Haizidi milioni 28 kaka. Tumia local fundi achana na hawa mafundi wanaojiita mainjinia. Anakukadiria hesabu kubwa kazini hafiki anaagiza malocal fundi kujenga yeye kazi yake ni kukuomba pesa za kuwalipa mafundi
 
Back
Top Bottom