Maisha 2070: Una nini cha kuacha kama kumbu kumbu hapa JamiiForums

Maisha 2070: Una nini cha kuacha kama kumbu kumbu hapa JamiiForums

Huenda 80% ya members waliopo leo watakuwa wamekufa.

It's obvious kwamba kizazi cha 70s, 80s na 90s kitakuwa kimepukutika na labda 5% tu ndio itakuwa imebaki. Wenye uhakika walau kuwepokwa 50% ni kizazi cha 2000.
 
Back
Top Bottom