Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mkuu 65 ndo maandiko yanasema hvo au unamanisha 107Nitakua kwenye ile range ya miaka aliyotuhaidi Bwana ya kuishi, so Inshaallah.
Tutafika tuu kikubwa tu play safe πππππHatakama nimeelewa siwezi kubali kirahisi ivo kwa mtu kama weweπππ2070 sio mchezo
We unawezaTutafika tuu kikubwa tu play safe πππππ
Kwa afya tuu
Mi naweza wewe je...We unaweza
fafanua kwenye mkamiaji apoMi naweza wewe je...
Alafu inaelekea wewe mkamiaji sana aiseee
Ooooh sawa sawa hapo nimekupata sana mkuuZaburi 90:10
Miaka ya kuishi ni sabini, au tukiwa wenye afya, themanini; lakini yote ni shida na taabu! Siku zapita mbio, nasi twatoweka mara!
HAUJUIIIIfafanua kwenye mkamiaji apo
sijui kabisaHAUJUIIII
Njoo nikufundishe basisijui kabisa
ππNjoo nikufundishe basi
Unaogopa au πππππ
ππΎββοΈππΎββοΈUnaogopa au πππ
Upo chap...ππΎββοΈππΎββοΈ
nawahi 2070Upo chap...
Unavopenda sasa πππ
Nipitie hapa makao makuu basi twende wotenawahi 2070
ntakupitia twende tukatalii arusha kabla ya kufka 2070Nipitie hapa makao makuu basi twende wote
Tukainjoi life sio...ntakupitia twende tukatalii arusha kabla ya kufka 2070
mimi uyo sasaTukainjoi life sio...
ππππSema wewe kigeu geu sana