kwani huwajui wabongo kila mtu ni daktari kosa usikonde na kukooa 😂😂 .Afu watu wanalisingizia eti limeungua hata damu linabadilisha😂😂😂
Eti ili atunze siri yake hataki urafiki wa karibu marafiki wa kike , marafiki zake wa kiume. Maana wa kike hawachelewi kutuletea kadi ya clinic ya arvs😅
Watu wa daslam wengi wanapenda maisha ya show off.ukiona unasema wametusua maisha kumbe njaa kali mpk kwenye kope za machoIRENE Uwoya ni mwigizaji wa Bongo Movies na mjasiriamali; mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 33, lakini bado anajiona binti wa miaka 20.
Inasemekana kwamba, Irene hana hata kibanda cha chumba kimoja ambacho amejenga, lakini amepanga apartment pale Masaki jijini Dar na analipa shilingi milioni nne (4,000,000) kwa mwezi mmoja.
Maana yake ni kwamba, analipa shilingi milioni ishirini na nne (24,000,000) kwa miezi sita na shilingi milioni arobaini na nane (48,000,000) kwa mwezi.
Hapohapo, mara kadhaa Irene anajisifia kutumia shilingi milioni ishirini (20,000,000) kwa wikendi moja ya siku tatu, akikusanya marafiki ambao wengi ni wanaume kisha kununua vyakula na pombe za bei ghali, halafu wanazimwaga huku wakijirekodi.
Mambo anayoyafanya Irene kwa sasa, yalifanywa na Wema sepetu kipindi cha nyuma na inafahamika hali aliyonayo hivi sasa.
Enzi zake, Wema alikuwa alikuwa akishuka pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alikuwa anapokelewa na wapambe wake kama kiongozi mkubwa wan chi.
Wema alikuwa haoni ajabu kumtunza mtu shilingi milioni kumi (10,000,000) kwenye sherehe ilihali akiwa hana hata kibanda achilia mbali duka au nyumba.
Baadhi ya watu wa karibu wanasema kuwa, kipindi kile akiwa kwenye chati alipata watu wa maana wa kumshika mkono ambapo angetumia vizuri zile fursa, basi leo hii angekuwa mbali mno kimaisha na angeweza kutajwa kwenye orodha ya mastaa matajiri zaidi nchini Tanzania.
Watu hao wanasema kuwa, kuna kila sababu wasanii kujifunza na kuelimika, watambue kuna suku za majuto zinakuja
DogoJanja kashakojoa sana ndani, unafeli wapi?Ila hilo lidada ni litamu me mwenyewe nikpata pesa lazima ni mgegede tu aroooh..
IRENE Uwoya ni mwigizaji wa Bongo Movies na mjasiriamali; mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 33, lakini bado anajiona binti wa miaka 20.
Inasemekana kwamba, Irene hana hata kibanda cha chumba kimoja ambacho amejenga, lakini amepanga apartment pale Masaki jijini Dar na analipa shilingi milioni nne (4,000,000) kwa mwezi mmoja.
Maana yake ni kwamba, analipa shilingi milioni ishirini na nne (24,000,000) kwa miezi sita na shilingi milioni arobaini na nane (48,000,000) kwa mwezi.
Hapohapo, mara kadhaa Irene anajisifia kutumia shilingi milioni ishirini (20,000,000) kwa wikendi moja ya siku tatu, akikusanya marafiki ambao wengi ni wanaume kisha kununua vyakula na pombe za bei ghali, halafu wanazimwaga huku wakijirekodi.
Mambo anayoyafanya Irene kwa sasa, yalifanywa na Wema sepetu kipindi cha nyuma na inafahamika hali aliyonayo hivi sasa.
Enzi zake, Wema alikuwa alikuwa akishuka pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alikuwa anapokelewa na wapambe wake kama kiongozi mkubwa wan chi.
Wema alikuwa haoni ajabu kumtunza mtu shilingi milioni kumi (10,000,000) kwenye sherehe ilihali akiwa hana hata kibanda achilia mbali duka au nyumba.
Baadhi ya watu wa karibu wanasema kuwa, kipindi kile akiwa kwenye chati alipata watu wa maana wa kumshika mkono ambapo angetumia vizuri zile fursa, basi leo hii angekuwa mbali mno kimaisha na angeweza kutajwa kwenye orodha ya mastaa matajiri zaidi nchini Tanzania.
Watu hao wanasema kuwa, kuna kila sababu wasanii kujifunza na kuelimika, watambue kuna suku za majuto zinakuja
hela mtalaamuDogoJanja kashakojoa sana ndani, unafeli wapi?
Aahh!wapiKwanza, Wema hajamfikia Uwoya kwa bata na spending…
Pili, wacha kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu..
This is 2022…
Hapo Pana miaka 8 kapunguza..Kumbe ana miaka 33
[emoji3][emoji3][emoji3]Hapo Pana miaka 8 kapunguza..
Dogo Janja hana hela, inawezekana unamzidihela mtalaamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha watambe maisha yakifeuka na kuwachapa wanarudi na sura za kutia huruma wakati huo papuchi imelegea na kutepeta kama utumbo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu watu wanalisingizia eti limeungua hata damu linabadilisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ili atunze siri yake hataki urafiki wa karibu marafiki wa kike , marafiki zake wa kiume. Maana wa kike hawachelewi kutuletea kadi ya clinic ya arvs[emoji28]
Ndo waanavyofanyaga hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo hela hawashikagi mkono sponsor akikuelewa analipa pango yy kwenda kulala tuu na kutoa huduma, sponsor akupe keshi ukajenge never ever
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute mleta uzi ni mwanaume halooo[emoji848]
Unamjua wema unamsikia? Uwoya hata nusu kwa Wema hafikiii, lolKwanza, Wema hajamfikia Uwoya kwa bata na spending…
Pili, wacha kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu..
This is 2022…
Upo mjini au wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha kula cha Rais kagame hicho