Maisha anayoishi Irene Uwoya ni maisha aliishi Wema Sepetu miaka 10 iliyopita, Majuto ni mjukuu

Afu watu wanalisingizia eti limeungua hata damu linabadilisha😂😂😂

Eti ili atunze siri yake hataki urafiki wa karibu marafiki wa kike , marafiki zake wa kiume. Maana wa kike hawachelewi kutuletea kadi ya clinic ya arvs😅
kwani huwajui wabongo kila mtu ni daktari kosa usikonde na kukooa 😂😂 .
 
Watu wa daslam wengi wanapenda maisha ya show off.ukiona unasema wametusua maisha kumbe njaa kali mpk kwenye kope za macho
 
Hakuna malaya anashika hela physically, huyo unakuta gari anaendesha hajapewa kadi, nyumba anayokaa ni apartment ya sponsor Ila anamdanganya anamlipia milioni nne, nauli mafuta anajaziwa sheli ya sponsor, unakuta pesa ya matumizi kidogo na kustarehe labda shopping ndio anaweza kupewa Ila Hadi hotel jamaa analipa hapo mnataka ajenge kwa kutumia nini?

BTW Yesu mwenyewe anaishi kwa babake mpaka leo akiwa na miaka 2022.
 

Kwanza, Wema hajamfikia Uwoya kwa bata na spending…

Pili, wacha kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu..

This is 2022…
 
Reactions: amu
Acha watambe maisha yakifeuka na kuwachapa wanarudi na sura za kutia huruma wakati huo papuchi imelegea na kutepeta kama utumbo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu watu wanalisingizia eti limeungua hata damu linabadilisha[emoji23][emoji23][emoji23]

Eti ili atunze siri yake hataki urafiki wa karibu marafiki wa kike , marafiki zake wa kiume. Maana wa kike hawachelewi kutuletea kadi ya clinic ya arvs[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo hela hawashikagi mkono sponsor akikuelewa analipa pango yy kwenda kulala tuu na kutoa huduma, sponsor akupe keshi ukajenge never ever
Ndo waanavyofanyaga hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza, Wema hajamfikia Uwoya kwa bata na spending…

Pili, wacha kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu..

This is 2022…
Unamjua wema unamsikia? Uwoya hata nusu kwa Wema hafikiii, lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…