Maisha anayoishi Irene Uwoya ni maisha aliishi Wema Sepetu miaka 10 iliyopita, Majuto ni mjukuu

Maisha anayoishi Irene Uwoya ni maisha aliishi Wema Sepetu miaka 10 iliyopita, Majuto ni mjukuu

IRENE Uwoya ni mwigizaji wa Bongo Movies na mjasiriamali; mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 33, lakini bado anajiona binti wa miaka 20.

Inasemekana kwamba, Irene hana hata kibanda cha chumba kimoja ambacho amejenga, lakini amepanga apartment pale Masaki jijini Dar na analipa shilingi milioni nne (4,000,000) kwa mwezi mmoja.

Maana yake ni kwamba, analipa shilingi milioni ishirini na nne (24,000,000) kwa miezi sita na shilingi milioni arobaini na nane (48,000,000) kwa mwezi.

Hapohapo, mara kadhaa Irene anajisifia kutumia shilingi milioni ishirini (20,000,000) kwa wikendi moja ya siku tatu, akikusanya marafiki ambao wengi ni wanaume kisha kununua vyakula na pombe za bei ghali, halafu wanazimwaga huku wakijirekodi.

Mambo anayoyafanya Irene kwa sasa, yalifanywa na Wema sepetu kipindi cha nyuma na inafahamika hali aliyonayo hivi sasa.

Enzi zake, Wema alikuwa alikuwa akishuka pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alikuwa anapokelewa na wapambe wake kama kiongozi mkubwa wan chi.

Wema alikuwa haoni ajabu kumtunza mtu shilingi milioni kumi (10,000,000) kwenye sherehe ilihali akiwa hana hata kibanda achilia mbali duka au nyumba.

Baadhi ya watu wa karibu wanasema kuwa, kipindi kile akiwa kwenye chati alipata watu wa maana wa kumshika mkono ambapo angetumia vizuri zile fursa, basi leo hii angekuwa mbali mno kimaisha na angeweza kutajwa kwenye orodha ya mastaa matajiri zaidi nchini Tanzania.

Watu hao wanasema kuwa, kuna kila sababu wasanii kujifunza na kuelimika, watambue kuna suku za majuto zinakuja
Time wil tell...
 
IRENE Uwoya ni mwigizaji wa Bongo Movies na mjasiriamali; mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 33, lakini bado anajiona binti wa miaka 20.

Inasemekana kwamba, Irene hana hata kibanda cha chumba kimoja ambacho amejenga, lakini amepanga apartment pale Masaki jijini Dar na analipa shilingi milioni nne (4,000,000) kwa mwezi mmoja.

Maana yake ni kwamba, analipa shilingi milioni ishirini na nne (24,000,000) kwa miezi sita na shilingi milioni arobaini na nane (48,000,000) kwa mwezi.

Hapohapo, mara kadhaa Irene anajisifia kutumia shilingi milioni ishirini (20,000,000) kwa wikendi moja ya siku tatu, akikusanya marafiki ambao wengi ni wanaume kisha kununua vyakula na pombe za bei ghali, halafu wanazimwaga huku wakijirekodi.

Mambo anayoyafanya Irene kwa sasa, yalifanywa na Wema sepetu kipindi cha nyuma na inafahamika hali aliyonayo hivi sasa.

Enzi zake, Wema alikuwa alikuwa akishuka pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alikuwa anapokelewa na wapambe wake kama kiongozi mkubwa wan chi.

Wema alikuwa haoni ajabu kumtunza mtu shilingi milioni kumi (10,000,000) kwenye sherehe ilihali akiwa hana hata kibanda achilia mbali duka au nyumba.

Baadhi ya watu wa karibu wanasema kuwa, kipindi kile akiwa kwenye chati alipata watu wa maana wa kumshika mkono ambapo angetumia vizuri zile fursa, basi leo hii angekuwa mbali mno kimaisha na angeweza kutajwa kwenye orodha ya mastaa matajiri zaidi nchini Tanzania.

Watu hao wanasema kuwa, kuna kila sababu wasanii kujifunza na kuelimika, watambue kuna suku za majuto zinakuja
Duh 48m kwa mwezi hiyo nyumba itakuwa chini ya maji
 
Mji una mengi huu, anyway kila mtu aishi atakavyo maisha ni mafupi sana haya kama ni wa kusikia atakusikia maana wanasema sikio la kufa halisikii dawa.
 
IRENE Uwoya ni mwigizaji wa Bongo Movies na mjasiriamali; mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 33, lakini bado anajiona binti wa miaka 20.

Inasemekana kwamba, Irene hana hata kibanda cha chumba kimoja ambacho amejenga, lakini amepanga apartment pale Masaki jijini Dar na analipa shilingi milioni nne (4,000,000) kwa mwezi mmoja.

Maana yake ni kwamba, analipa shilingi milioni ishirini na nne (24,000,000) kwa miezi sita na shilingi milioni arobaini na nane (48,000,000) kwa mwezi.

Hapohapo, mara kadhaa Irene anajisifia kutumia shilingi milioni ishirini (20,000,000) kwa wikendi moja ya siku tatu, akikusanya marafiki ambao wengi ni wanaume kisha kununua vyakula na pombe za bei ghali, halafu wanazimwaga huku wakijirekodi.

Mambo anayoyafanya Irene kwa sasa, yalifanywa na Wema sepetu kipindi cha nyuma na inafahamika hali aliyonayo hivi sasa.

Enzi zake, Wema alikuwa alikuwa akishuka pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alikuwa anapokelewa na wapambe wake kama kiongozi mkubwa wan chi.

Wema alikuwa haoni ajabu kumtunza mtu shilingi milioni kumi (10,000,000) kwenye sherehe ilihali akiwa hana hata kibanda achilia mbali duka au nyumba.

Baadhi ya watu wa karibu wanasema kuwa, kipindi kile akiwa kwenye chati alipata watu wa maana wa kumshika mkono ambapo angetumia vizuri zile fursa, basi leo hii angekuwa mbali mno kimaisha na angeweza kutajwa kwenye orodha ya mastaa matajiri zaidi nchini Tanzania.

Watu hao wanasema kuwa, kuna kila sababu wasanii kujifunza na kuelimika, watambue kuna suku za majuto zinakuja
2

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
IRENE Uwoya ni mwigizaji wa Bongo Movies na mjasiriamali; mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 33, lakini bado anajiona binti wa miaka 20.

Inasemekana kwamba, Irene hana hata kibanda cha chumba kimoja ambacho amejenga, lakini amepanga apartment pale Masaki jijini Dar na analipa shilingi milioni nne (4,000,000) kwa mwezi mmoja.

Maana yake ni kwamba, analipa shilingi milioni ishirini na nne (24,000,000) kwa miezi sita na shilingi milioni arobaini na nane (48,000,000) kwa mwezi.

Hapohapo, mara kadhaa Irene anajisifia kutumia shilingi milioni ishirini (20,000,000) kwa wikendi moja ya siku tatu, akikusanya marafiki ambao wengi ni wanaume kisha kununua vyakula na pombe za bei ghali, halafu wanazimwaga huku wakijirekodi.

Mambo anayoyafanya Irene kwa sasa, yalifanywa na Wema sepetu kipindi cha nyuma na inafahamika hali aliyonayo hivi sasa.

Enzi zake, Wema alikuwa alikuwa akishuka pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alikuwa anapokelewa na wapambe wake kama kiongozi mkubwa wan chi.

Wema alikuwa haoni ajabu kumtunza mtu shilingi milioni kumi (10,000,000) kwenye sherehe ilihali akiwa hana hata kibanda achilia mbali duka au nyumba.

Baadhi ya watu wa karibu wanasema kuwa, kipindi kile akiwa kwenye chati alipata watu wa maana wa kumshika mkono ambapo angetumia vizuri zile fursa, basi leo hii angekuwa mbali mno kimaisha na angeweza kutajwa kwenye orodha ya mastaa matajiri zaidi nchini Tanzania.

Watu hao wanasema kuwa, kuna kila sababu wasanii kujifunza na kuelimika, watambue kuna suku za majuto zinakuja
Cc diadomond
 
Ila hilo lidada ni litamu me mwenyewe nikpata pesa lazima ni mgegede tu aroooh..
Afu watu wanalisingizia eti limeungua hata damu linabadilisha😂😂😂

Eti ili atunze siri yake hataki urafiki wa karibu marafiki wa kike , marafiki zake wa kiume. Maana wa kike hawachelewi kutuletea kadi ya clinic ya arvs😅
 
Ajenge nyumba ya nn kwan uliambiwa duniani tumekuja kukaa? tafuta hela kula bata acha makasiriko mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom