La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,049
- 1,160
Habari zenu wanajamvi ? Samahani kwa usumbufu, ninavyofahamu mimi kutokana na Imani yangu ya Kikiristo(Sijui kwa dini zingine ) Sipaswi kuogopa kifo kwa sababu lipo tumaini kuwa Yesu atarudi tena yaani Second Advent kisha atatuchukua nasi tutakwenda kuishi na kutawala pamoja naye...!
Swali linakuja, je! kabla ya ujio wake wa Pili, Mtu anapokufa kuna maisha yanayoendelea baada ya kifo? Nikimaanisha, kama roho huwa inamrudia muumba wake,
1) Ni kwa nini watu wengi huwa wanasema roho yake ipumzike kwa Amani?
2) Je ni kweli kuwa wakati mwingine wafu huwa hawapumziki kwa Amani, so Huwa wanaendelea na Maisha katika ulimwengu usioonekana?
3) Je mizimu ni sehemu ya Maisha hayo?
Nawasilisha
Swali linakuja, je! kabla ya ujio wake wa Pili, Mtu anapokufa kuna maisha yanayoendelea baada ya kifo? Nikimaanisha, kama roho huwa inamrudia muumba wake,
1) Ni kwa nini watu wengi huwa wanasema roho yake ipumzike kwa Amani?
2) Je ni kweli kuwa wakati mwingine wafu huwa hawapumziki kwa Amani, so Huwa wanaendelea na Maisha katika ulimwengu usioonekana?
3) Je mizimu ni sehemu ya Maisha hayo?
Nawasilisha