MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Jamaaa kagongelea misumari 😂[emoji23][emoji23] don’t imagine kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaaa kagongelea misumari 😂[emoji23][emoji23] don’t imagine kaka
ushajua hilo na bado unataka kuendelea naye hii si sawa unless wewe ni GIGOLO.Mwanamke kupigwapigwa miti haijakaa sawa, ila kwa sababu baadhi yao wanapenda hela basi miti lazima wapigwe na hapo ndo shida inapoanzia
Aongee na msaliti?Mkuu, talk to your wife privately so you can understand why she cheated and plan what you want to do next. Couples therapy can help. Allow yourself to feel the full range of emotions and take your time to decide what you're going to do next rather than making a rash decision you might regret.
Acha kumjaza mwenzako ujingaAngalia huyo mwanamke ana msaada gani kwako na amechangia kiasi gani kwenye mafanikio yako, Kupata mwanamke mwenye akili now days ni ngumu sana asee ...
Kama ame repent na umehakikisha ni kweli amejutia alichofanya na sio ku pretend kujutia No! Hivyo vyote lazima ujue tu boss kama she's real or not
Kuchepuka kwa wanawake sometimes inatokana na sisi wanaume
It doesn't matter amechepuka kwa makusudi au bahati mbaya bali unachotakiwa kuangalia ni rudi juu soma tena paragraph ya kwanza
Kusamehe sio udhaifu mkuu but ikitokea amerudia tena wewe unapata hasara gani kumuacha
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
ONEITIS.Angalia huyo mwanamke ana msaada gani kwako na amechangia kiasi gani kwenye mafanikio yako, Kupata mwanamke mwenye akili now days ni ngumu sana asee ...
Kama ame repent na umehakikisha ni kweli amejutia alichofanya na sio ku pretend kujutia No! Hivyo vyote lazima ujue tu boss kama she's real or not
Kuchepuka kwa wanawake sometimes inatokana na sisi wanaume
It doesn't matter amechepuka kwa makusudi au bahati mbaya bali unachotakiwa kuangalia ni rudi juu soma tena paragraph ya kwanza
Kusamehe sio udhaifu mkuu but ikitokea amerudia tena wewe unapata hasara gani kumuacha
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Kusamehe si ujinga bro hususani anayemsamehe mwanamke msaliti bali ni upumbavuKusamehe sio udhaifu mkuu, sometimes inatokea tu mwanamke anafanya ujinga na mwisho wa siku ana regret makosa yake
Hakikisha amejutia makosa yake na umejiridhisha ni kweli amejutia
Nje ya hapo ukilazimisha uwenae na wakati unaona kabisa mwanamke hana hata habari na ndo kwanza she doesn't give a fck na anaona yupo sahihi kwa alichokifanya, Boss! Unatakiwa umuache haraka sana tena siku hiyo hiyo
Sometimes tunapenda kweli but kuachana pia ni mwanzo wa safari nyengine na sio mwisho, we met for a reason and we'll break up for the same reason
Let things go on their own flow, don't push just let it be
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Asante ushauri wako mkuu. Kimsingi ni mwanamke mwenye akili na ambae anaweza kuachiwa familia akalea. Lakini sasa hicho sio kigezo cha mtu kufanya ujinga, na kusamehe nimemsamehe ila haindoki kichwani na uaminifu wangu kwake umepungua sana.Angalia huyo mwanamke ana msaada gani kwako na amechangia kiasi gani kwenye mafanikio yako, Kupata mwanamke mwenye akili now days ni ngumu sana asee ...
Kama ame repent na umehakikisha ni kweli amejutia alichofanya na sio ku pretend kujutia No! Hivyo vyote lazima ujue tu boss kama she's real or not
Kuchepuka kwa wanawake sometimes inatokana na sisi wanaume
It doesn't matter amechepuka kwa makusudi au bahati mbaya bali unachotakiwa kuangalia ni rudi juu soma tena paragraph ya kwanza
Kusamehe sio udhaifu mkuu but ikitokea amerudia tena wewe unapata hasara gani kumuacha
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Ulipatwa na nini mkuu, tupe uzoefu wakoKaka piga na chini hakuna rangi utaacha kuja kuona maishan mwako. Msaliti wa kike hakuna msamaha hao viumbe wanaendeshwa na hisia hayo maumivu yaskie mpk leo sisahau alichonifanya yule kiumbe niliona mpk video wakiwa kitandan mwanamke niliempenda kuliko mtu yoyote but nilimove on and i will be okay.
Kama umesamehe haya maandiko yangi kwa umakini ATARUDIA TENA ....KUMBUKA HIII KAULI NIMEANDIKA ATARUDIA TENAHivi ikitokea mchumba/mke amekusaliti na ukaamua kumsamehe, unawezaje kurudisha uaminifu na maisha yakaendelea?
Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu.
Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua kunisaliti, na pia nahisi atanisaliti tena kwa hiyo uaminifu niliokua nae umepungua kwa kiasi kikubwa.
How old are you..?🤔Aongee na msaliti?
Acheni kujazana ujinga
How old are you..?[emoji848]
52How old are you..?🤔
Then....Acha ujinga na wewe. HAKUNA MSAMAHA KWA MSALITI WA KIKE HIYO NI LAANA.
pole kaka ,mim two year ila juzi kimenikuta kitu kizito sana japo siumii sana kwasabab nilikuwa nimeshaanza kuona mauza uza kwahio nilizoea ile hali, kuna siku nitashusha nyuz zangu humu aisew hawa watu 🙌🙌Mimi binafsi hua nashindwa, tena kwenye maisha ya uchumba/Mpenzi tu wa kawaida.
Hapa kuna manzi tuli date for 10months. Ukatokea usaliti kwa upande wake, nikajua now we are like strangers
Shusha uzi mkuu. Na mm siku nikitulia ntashusha uzi kidogo watu wa enjoypole kaka ,mim two year ila juzi kimenikuta kitu kizito sana japo siumii sana kwasabab nilikuwa nimeshaanza kuona mauza uza kwahio nilizoea ile hali, kuna siku nitashusha nyuz zangu humu aisew hawa watu [emoji119][emoji119]
Unamsamehe na kumwacha awape watu wengine stress, kawaida mwanamke msaliti akiachwa ndiyo mwisho wake anabakia kuliwa tu mpaka anazeeka.Hivi ikitokea mchumba/mke amekusaliti na ukaamua kumsamehe, unawezaje kurudisha uaminifu na maisha yakaendelea?
Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu.
Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua kunisaliti, na pia nahisi atanisaliti tena kwa hiyo uaminifu niliokua nae umepungua kwa kiasi kikubwa.