Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, kusingewezekana kuwapo na mpumbavu popote.Mithali 18:7 )(
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake, Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.
Udhibitisho upi unautaka!Kwani upepo ulishawahi kuona umbo lake au rangi yake?lakini ukivuma mbona unasema huu ni upepo,tunaamini uwepo wa Mungu kwa matukio tunayoyaona hapa duniani.(Sitaki habari za kuamini, nataka kujua.
Thibitisha Mungu yupo.
Hujathibitisha Mungu yupo, unahubiri.Udhibitisho upi unautaka!Kwani upepo ulishawahi kuona umbo lake au rangi yake?lakini ukivuma mbona unasema huu ni upepo,tunaamini uwepo wa Mungu kwa matukio tunayoyaona hapa duniani.(
Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Soma hii habari, Ikiwezekana nenda channel ya Wasafi then urudi tujadili jamboYou are just throwing tantrums.
Unataka nikubaliane na uongo wako?
Thibitisha uwepo wa ulimwengu wa roho.
Sio kuleta stori zako uchwara za vilabuni huko.
Wazee hao wana maarifa, ujuzi na utaalamu wao ambao mtu wa kawaida huna hayo maarifa.Soma hii habari, Ikiwezekana nenda channel ya Wasafi then urudi tujadili jambo
Ni vigumu kubishana napumbavuWahenga kina nani?
Hao wahenga walisema maneno hayo lini? wapi? Saa ngapi? tarehe ngapi? Mwezi gani? Mwaka gani?
Na muda gani exactly?
Kwa Mungu hakuna lisilowezekanaMungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, kusingewezekana kuwapo na mpumbavu popote.
Ukishaona kuna uwezekano wa mtu kuwa mpumbavu, hilo ni ushahidi Mungu huyo hayupo.
Mtu kuwa mpumbavu katika ulimwengu ambao una Mungu ni mambo mawili yaliyo mutually exclusive.
Ama una mtu mpumbavu katika ulimwengu ambao hauna Mungu.
Au una ulimwengu ambao una Mungu na hauna mtu mpumbavu.
Haiwezekani ulimwengu ambao una Mungu uweze kuwa na mtu mpumbavu.
Anaweza kuumba jiwe zito kiasi asiweze kulibeba?Kwa Mungu hakuna lisilowezekana
Kwani Wewe Upendo unautafsiri Vipi?Upendo wa mungu unapenda watu wake wateseke?wakufe waumie ?
Hili halina ubishi dini inatumika kwa malengo zaidi ya moja ( multipurpose) pale itakapobidi.Religion is a fictional identity.
Religion is a mental slavery.
Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.
Religion is a drug, religious leaders are the dealers their followers are the addicts.
Religion is the training of the mind to ignore facts, evidences, logic and reasoning.
Religion is a programing system for collecting money from people who are unable to think.
Religion is a Scam.
Kama unahekima ya kutosha unaweza ukawa-classify kwa vigezo ukapata majibu(mbivu na mbichi).Kuna uwezekano mkubwa Yeshua (Yesu) na Muhammad (Mudi) walikuwa matapeli.
Mmoja alidai yeye ni mtoto wa Yahweh (Mungu). Mwingine alidai yeye ni nabii na mjumbe wa Allah (Mungu).
Umezingua hujaniitaNambie mama
Haya sawa tufanye jpili mkuuUwe na muda tuichunguze Biblia mm na ww, aidha kwa mtandao au kawaida
Umeanza kujitambua.Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! π
πΉπΉπΉ wewe ulitaka kuchangamsha kijiwe banaKumbe hujui
Mbona mi kwetu ni Tanga (nimeenda mara nyingi sana kumsalimu bibi yangu wakato alipokuwa hai)na sijawahi kuuona huo ulimwengu halisi wa kiroho?Mtu kama wewe unatakiwa upelekwe Mtwara ama Tanga ama Kigoma Sasa ukishapata KUJUA kuwa kuna ulimwengu halisi kabisakabisa wa roho, hapohapo unapata KUJUA kuwa MUNGU yupo...
Hili halina ubishi dini inatumika kwa malengo zaidi ya moja ( multipurpose) pale itakapobidi.
Hata michezo hasa soccer inatumika kutimiza malengo mengine inapobidi hususani hapa bongo.
Mimi sina imani ya aina yeyote ile.Sasa imani yako wewe iko ipo kwa Mungu au kwa Dini...!? Ya kaisali mpeni kaisali na ya Mungu mpeni Mungu...
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.Msimchanganye Mungu na dini ninaamini Mungu hana uhusiono na dini ila dini ndio zinauhusiono na MUNGU.
Hakuna kitu kinaitwa Baraka.Kuna mahali huko duniani dini hazijafika na baraka wanaipata kama kawaida kama wanastaili.
Nilisahau π π πUmezingua hujaniita