Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Dunia si perfect.

Haina usawa. Ina ajali za asili zinazoumiza na kuua wengi.

Hivi sasa kuna kimbunga kinakaribia Marekani kitaumiza watu wengi na kuharibu mali zao.

Wangependa kuishi maisha yao vizuri bila kusumbuliwa na kimbunga chochote.

Hapo utasemaje ulimwengu uko perfect?
Ni sawa na umeniuliza kwanini tufe ? Kwanini tusiishi milele ??
Inabidi utulize idea zako chini Kwa huyo designer alieumba hizo ajali za asili, huna kitu Cha kumfanya ,
Ingekua Kuna mkubwa wake na mungu tungemsemea lakini hayupo kwahyo hutakiwi ku judge
 
Ivi unajua kua hapo ulipo una Uungu ndani yako, ni vile tu hujapata namna sahihi ya kuudhihilisha.

Ama laa! Kuna concept moja sitaki kuiamini moja kwa moja ila kupitia wewe unanishawishi niiamini hiyo concept. Ambayo ni NPC (Non player Character).
Nimeongelea Mungu very specific, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Huyo Mungu hayupo.

Ukisema nina uungu ndani yangu, kwa maana ya kwamba nina sehemu ya sifa hizo, siwezi kukataa.

Kwa sababu nina ujuzi fulani, nina uwezo fulani, na nina uoendo fulani. Lakini that is not my point.

I am talking about the God who is omniscient, omnipotent and all benevolent.

Umenielewa?
 
Ni sawa na umeniuliza kwanini tufe ? Kwanini tusiishi milele ??
Inabidi utulize idea zako chini Kwa huyo designer alieumba hizo ajali za asili, huna kitu Cha kumfanya ,
Ingekua Kuna mkubwa wake na mungu tungemsemea lakini hayupo kwahyo hutakiwi ku judge
Huyo designer mwenyewe hayupo. Unalazimisha tu awepo.

Ndiyo maana mpaka sasa hujathibitisha kuwa yupo.

Kwa a priori logical fallacy.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye kusahau uwepo wake?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wasio weza kusahau uwepo wake?

Huoni huyo Mungu sio mkamilifu kwa kuumba binadamu wenye kusahau uwepo wake?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?

Unayedai Mungu yupo ni wewe, Hivyo wewe ndiye unapaswa kuthibitisha madai yako.

Sasa wewe unasema Mungu yupo, Halafu unataka mimi nikuthibitishie madai yako?

Hivi uko timamu kweli huko kichwani mwako?

Huyo Mungu kama ana hasira aje hapa adhihirishe hizo hasira zake.

Sio wewe kubaki kumuongelea na kumtetea.

Kwa hiyo dini ndio uthibitisho wa kuwepo Mungu?
Nchini Israel wayahudi wengi hawaamini katika Al Masih issa ibn Maryam, yaani yesu kristo ingawaje huko ndipo yesu kristo alipokulwa anaishi yerusalem,

Kwahiyo wewe kupinga uwepo wa mungu sikushangai ni kwa sababu hujapata mwangaza katika akili yako, la hasha wahenga waliwahi kunena kuwa lisemwalo lipo la hasha laja.
Siku ukifa na kwenda kuzimu ndiyo utapata majibu haya yote unayo uliza

Mola mlezi akulinde.
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Sentensi ya mwisho imenichekesha mno.
 
Nchini Israel wayahudi wengi hawaamini katika Al Masih issa ibn Maryam, yaani yesu kristo ingawaje huko ndipo yesu kristo alipokulwa anaishi yerusalem,

Kwahiyo wewe kupinga uwepo wa mungu sikushangai ni kwa sababu hujapata mwangaza katika akili yako, la hasha wahenga waliwahi kunena kuwa lisemwalo lipo la hasha laja.
Siku ukifa na kwenda kuzimu ndiyo utapata majibu haya yote unayo uliza

Mola mlezi akulinde.
Mtu kutopata mwangaza wa kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote pia ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.

Mungu huyo angekuwepo, kila mtu angekuwa na mwangaza sahihi kuhusu uwepo wake, kwa namna ambayo mabishano haya ya uwepo wake yasingewezekana kuwepo.

Kimsingi, ukiona mabishano yoyote kuhusu uwepo wa Mungu huyu, mabishano hayo yanaonesha ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Ukristo sio dini.
 
Nimeongelea Mungu very specific, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Huyo Mungu hayupo.

Ukisema nina uungu ndani yangu, kwa maana ya kwamba nina sehemu ya sifa hizo, siwezi kukataa.

Kwa sababu nina ujuzi fulani, nina uwezo fulani, na nina uoendo fulani. Lakini that is not my point.

I am talking about the God who is omniscient, omnipotent and all benevolent.

Umenielewa?
Mungu huyo yupo, na ni kama tu utaamua kuishi maisha ya kiroho ukiwa hapa duniani.

Na ni suala tu la kuchagua (kiuhalisia inawezekana ni unaamua kati ya baya na jema we unachagua jema baya unaliacha uwezo wa kufanya hivi unao(will power) kama hauna willpower sasa hilo sio tatizo ni jeuri yako tu umeamua) na MUNGU hakutaka kukufunga katika hilo kwa hekima zake.
 
Mungu huyo yupo, na ni kama tu utaamua kuishi maisha ya kiroho ukiwa hapa duniani.

Na ni suala tu la kuchagua (kiuhalisia inawezekana ni unaamua kati ya baya na jema we unachagua jema baya unaliacha uwezo wa kufanya hivi unao(will power) kama hauna willpower sasa hilo sio tatizo ni jeuri yako tu umeamua) na MUNGU hakutaka kukufunga katika hilo kwa hekima zake.
Hujathibitisha kuwa Mungu yupo, umeleta kauli za imani na kabobo za mapokeo tu.

Thibitisha Mungu yupo na kwamba habari za kuwapo kwake si hadithi za uongo tu.
 
Nchini Israel wayahudi wengi hawaamini katika Al Masih issa ibn Maryam, yaani yesu kristo ingawaje huko ndipo yesu kristo alipokulwa anaishi yerusalem,

Kwahiyo wewe kupinga uwepo wa mungu sikushangai ni kwa sababu hujapata mwangaza katika akili yako, la hasha wahenga waliwahi kunena kuwa lisemwalo lipo la hasha laja.
Siku ukifa na kwenda kuzimu ndiyo utapata majibu haya yote unayo uliza

Mola mlezi akulinde.
Hata uongo pia husemwa, kwa hiyo sio kila lisemwalo lipo kweli.
Pia linaweza lisiwepo vilevile.

Na ili kujua kwamba lisemwalo lipo kweli, lazima utoe uthibitisho wa hilo lisemwalo tuhakiki kama ni kweli lipo au uongo halipo.

Sasa wewe Thibitisha uwepo wa huyo Yesu, Na si hadithi za vitabuni zisizo na uthibitisho wowote ule sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.

Pia kama huyo Mungu kama alitaka aaminiwe yupo, Alishindwaje kuumba binadamu watakao mwamini yupo siku zote bila utata na utofauti wa kiimani?
 
Mtu kama wewe unatakiwa upelekwe Mtwara ama Tanga ama Kigoma Sasa ukishapata KUJUA kuwa kuna ulimwengu halisi kabisakabisa wa roho, hapohapo unapata KUJUA kuwa MUNGU yupo...
Ulishawahi kwenda huko Tanga na Kigoma au unaandika kwa stori za kahawani!? Mimi nipo kwenye moja ya mikoa hiyo na sijawahi kuona wala kusikia stori hizo! Tatizo lenu mkikaa vijiweni kila mmoja anatafuta stori za kutunga ili kahawa ishuke!
 
Ambaye unasema kitu kipo halafu hapohapo huna uthibitisho wala ushahidi wa hicho kitu unachodai kipo wewe ndio mpumbavu.

Unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule yawe ukweli bila evidence yeyote.

Ambaye unasema kitu kipo halafu hapohapo huna uthibitisho wala ushahidi wa hicho kitu unachodai kipo wewe ndio mpumbavu.

Unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule yawe ukweli bila evidence yeyote.
Mithali 27:22 )(
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka. Endelea kuamini mzungu aliyesema ulitokana na nyani,hata ukidhibitishiwa utakataa maana roho wa upotevu imesha kuingia.
 
Mpumbavu husema moyoni mwake hakuna Mungu.
Ila Wapimbavu zaidi ni hao waliokupa Likes
 
Maoni yngu: Alietuumba na kutuwekea system ya DNA pamoja na Natural Intelligence yupo tena anajulikana kama MKUU wa ENZI rejea bandiko la Pro. Singano Jr la "Niliemdhania kahaba kumbe bikra" Tulicho Miss sisi wanadamu ni Njia sahihi ya kumwendea! Njia karibu zote tunadanganywa, lakn trust me Kuna watu tayar wanaijua the actual path na hawako tayari kuisema hio kweli, Ukweli tumefichwa badala yake wamebaki kutuletea hadthi tuu za watu Mambo waliofanya!! Kama Jesus alipaa na alitembea juu ya maji, akabadilisha maji kuwa Divai Aminini kuwa Kuna watu wanaweza kufanya hivyo vyote mpka Leo na wapo! Lakn wanaijua Njia sahihi ya kuwa purified mpka kufika kwenye Realm ya kufany hivyo. Lakin vingi kati ya hivyo vipo Vatican vimefichwa kweny maktaba zao
Jaman Hivyo wanavyovisema vipo! Mungu yupo na kila kitu kipo Kasoro tuu hizo njia wanazozitumia na kutuaminisha sio za kweli
Angalau unaweza kueleweka.
 
Back
Top Bottom