Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Maisha club toka imehamia Mwenge imekuwa kama pub flani ya kishamba sana.
You can't believe wana kaka kamoja kimbamba keupe yani eti ndio official dj wao kinajua tu nyimbo za kina mario na aslay yani hakuna mzuka ule wa Club maisha wa zamani.
Sasahivi ni saa nane kamili usiku wakati wenzao ndio kumekucha wao wti mziki ndio umeisha/wamezima na kuondoa kimeo chao cha pc ya Apple kwa dj table Hyperman HK your club is already suffocated where are you?
You can't believe wana kaka kamoja kimbamba keupe yani eti ndio official dj wao kinajua tu nyimbo za kina mario na aslay yani hakuna mzuka ule wa Club maisha wa zamani.
Sasahivi ni saa nane kamili usiku wakati wenzao ndio kumekucha wao wti mziki ndio umeisha/wamezima na kuondoa kimeo chao cha pc ya Apple kwa dj table Hyperman HK your club is already suffocated where are you?