Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Pretoria sijapiga sana misele lkn ni sehemu moja tamu sana kwa kuishi, hakuna watu wa hovyo hovyo kama Jozi, hakuna uchafu na harufu za kienyeji, pamepangiliwa vizuri na pia hapajabanana na population bado iko chini. Hilo chimbo ntalizukia weekend japo sitegemei kukutana na wabongo wengi.
Less populated place ya dizonga ni polokwane mzee
 
Katika nchi nazoogopa kutembelea ni SA, kuanzia kuwa na silaha nje nje, mateja yao kuteka magari na kukuua, kukaba raia wageni, ubaguzi wao tena wakuua...
Nafikiri kukosa hela ya nauli kwenda huko ndio usalama wangu..
SA na utekaji wao wote huji kusikia mwanafunzi anatekwa harafu anabaki kituoni kufunguliwa mashtaka...Dar es salam watu tunawafahamu wameuawa kwa kutoa 5 million bank mlimani hapo unazungumzia nini Mkuu
 
uki

ukiwa na akili huwez kwenda SA kutafuta maisha....vijana nendeni Canada/australia/germany au china
Mkuu SA watu walienda hata nauli ya huko ilikua ngumu unazungumzia China wakati nauli kubwa na mengineyo wakati SA ilikua nauli tuu ukifika maisha yanaenda ila sio kwa kipindi hiki...China still kunataka mtaji watu wapo wapo tuu kama hawana mtaji wa kuzungusha bidhaa kuja Africa panasumbua...
 
Kikulachochako Mkuu nimekupata naijua SA vizuri na bado nafanya shughuli zangu kwa kupitia au kuchukua bidhaa nyingi SA...sijaandika makala kuhusu SA kwa sababu maisha yamebadilika kwa vijana kuanzia life SA ila kwa kutoa bidhaa SA au kupitisha ukitoa China au kuuza bidhaa SA hakuna usumbufu soko la bidhaa nyingi lipo na kwa kuhitaji bidhaa bado wanazo...Ndio maana Watanzania wengi wanafanya shughuli ya kusafirisha bidhaa kutoa SA na kwenda Botswana, Zambia,Kongo na Msumbiji kwa kupeleka Tz kuna usumbufu sana mpakani wengi wanagoma kupeleka bidhaa Dar labda akodishwe..Truck nyingi zinaishia Zambia...
 
Aisee kuna matajiri wengi sana wakibongo sasa yeye atajuaje wakati hana pesa??
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] , nimecheka kwa sauti,

Huyu alienda kusoma chuo, hussle za wabongo hazijui ,
Btw, Sata frika ni zaidi ya hayo majengo aliyopiga picha na kurudi.
 
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] , nimecheka kwa sauti,

Huyu alienda kusoma chuo, hussle za wabongo hazijui ,
Btw, Sata frika ni zaidi ya hayo majengo aliyopiga picha na kurudi.

Kuna tajiri mmoja anaitwa machupa yupo east London cape town ni zaidi ya tajiri

Yeye anadhania matajiri wanajionesha barabarani au kuwa na ATM card nyeusi ya first national bank

Huyu dogo tatizo lake anajifanya mjuaji sana

Dizonga ni zaidi aijuavyo

Hapa dizonga life ni gumu lakini kuna opportunities nyingi sana tofauti na huko uzombini bongo kwa wajinga
 
SA na utekaji wao wote huji kusikia mwanafunzi anatekwa harafu anabaki kituoni kufunguliwa mashtaka...Dar es salam watu tunawafahamu wameuawa kwa kutoa 5 million bank mlimani hapo unazungumzia nini Mkuu

Mshamba huyo

Life LA kibongo ni life LA wajinga

Wabongo wengi ni zehro on flick na ndio mtaji wa wanasiasa wao hasa ccm
 
Wabongo Sauz wengi wao hawajielewi...hamna la maana zaidi ya kuuza sembe na kuiba iba. Na kuishi kwa majimama ya kizulu
 
Uku mtaani kwetu vijana wengi waliozamia wamerudi..kuna wawili wamerudi wagonjwa kati ya hao mmoja amefariki...ila kuna kijana mmoja tu ndio nahisi ametusua kiduchu yeye amezaa na raia wa huko so nahisi maisha kwake ni easy kidogo..ila dah..yanini kuteseka ivyo wakati hapa Bongo hata ukiuza vitumbua au icecream(za vifuko)unatusua haulali njaa..ya nini mateso ya ivyo..khaaaa!
 
Uku mtaani kwetu vijana wengi waliozamia wamerudi..kuna wawili wamerudi wagonjwa kati ya hao mmoja amefariki...ila kuna kijana mmoja tu ndio nahisi ametusua kiduchu yeye amezaa na raia wa huko so nahisi maisha kwake ni easy kidogo..ila dah..yanini kuteseka ivyo wakati hapa Bongo hata ukiuza vitumbua au icecream(za vifuko)unatusua haulali njaa..ya nini mateso ya ivyo..khaaaa!
La kushangaza vijana wa Sauz nao wanaona hapo Sauz hakuna maisha wanataka kwenda Mbele hasa US. Wengi wao wapo tayari hata kuolewa ili wakaishi huko mbele. Sauz machokal wengi mno
 
Mshamba huyo

Life LA kibongo ni life LA wajinga

Wabongo wengi ni zehro on flick na ndio mtaji wa wanasiasa wao hasa ccm

CHADEMA. Huoni wauza Unga Ndo mabesti sasa na Nyie chadema Kwa sitaki nataka. Sasa nini kukataa ndugu zenu
 
CHADEMA. Huoni wauza Unga Ndo mabesti sasa na Nyie chadema Kwa sitaki nataka. Sasa nini kukataa ndugu zenu

Embu rudia kusoma ulicho andika kama utaelewa, aisee Mimi sio chadema wala ccm

Ila naichukia ccm kwasababu inaongeza umasikini

Kama chadema kuna wauza unga maana yake ccm imeshindwa kuongoza taifa lenu hilo kama kuna wauza unga na mnawafahamu mnaishia kuwataja kwa kificho

Wewe ni zero rudi shule
 
Uliyosema yote ni kweli. Mimi niliishakaa Jobeg (Johannesburg) eneo la westonaria miaka 2. Nilikuwa nazuka mitaa hatarir kama ya hilbrour, n.k, ni hatari
 
Endeleeni kufunguka wadau walau na sisi tupate ka experience ka huko maana Bongo nyoso Bongo mufilis!
 
Back
Top Bottom