Katika Maisha ya binadamu kupitia changamoto ni njia mojawapo itakayokuwezesha uweze kufikia malengo Yako lakini muda mwingine changamoto zinazidi uwepo wa uvumilivu .
Yani changamoto zinafanya Hadi hisia ziwe tofauti na matendo ya nje .
Yani inafikia wakati hisia zinakosa ushirikiano kabisa na mwili .
Sasa Ili kuweza kuokoa baadhi ya watu ni nini kifanyike wadau wangu