Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Post of the year mkuu !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili kama na kwenu ni ngumu kwetu ni farajaHata sisi wauza majeneza biashara imekuwa ngumu sana kwa miaka hii miwili yaani haitoki kabsa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Sasa Hivi Hata Yale Magari Ya Kuvuta Mavi Wanalia Njaa, Wanasema Biashara Ngumu.*
*Na Ukiangalia Ni Kweli Kwa Sababu Mtu Anakula Chips Kavu Na Soda; Ni Lini Choo Kitajaa?*
#.
Mzee mama ety kweli ni wewe unashindia chipsi kavu na utumbo wa kuku na juice ya kupima, ndiyo maana huendi kwa " SUPER TOILET "Hahahaaa. Hatari sana hii.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Mie akaaaa.Mzee mama ety kweli ni wewe unashindia chipsi kavu na utumbo wa kuku na juice ya kupima, ndiyo maana huendi kwa " SUPER TOILET "
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
[emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji119] [emoji119][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Mie akaaaa.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa. Ndio sio wote mkuu.[emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji119] [emoji119]
Haya kumbe sio wote....