Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 608
Kijana wa hivyo fikra yake inakuwa imepigwa, fahari ya mwanaume ni familia yake
mawazo mema mwaya
hapanaUmeyapenda pia
mijusi ndo wanawaza huo ujingaJust imangine wewe ni kijana wa miaka chini ya 30, hujaoa na una kazi nzuri tena unafanyia posta Dar es Salaam. Mshahara ni take home kama 2M hivi na unakaa either sinza or kigamboni.
Maisha haya nianayotamani
Umeshakunywa chai tangu ulivyoamka??, au upo kwenye mfungo?
Fikra hizi ndo mnaishia kupigwa pipe.
VizuriChai tayar nishapata.