Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mbongo bila kumpa hela atakuelewa? Achana na mapenzi kama huna kitu.Ugumu WA maisha unafanya tuonekane hatuna mapenzi ya kweli
😃😃😃Huyo kwenye avatar ni wewe?
Vijana wanajipa stress za majukumu ambayo sio yao
Mapenzi ya kweli hayana cha ugumu wala urahisi wa maishaUgumu WA maisha unafanya tuonekane hatuna mapenzi ya kweli
Nakazia ujumbe wako mkuuUsivunjike moyo kwa sababu mahusiano ya kimapenzi ni burden na liability kwa mwanaume kwaiyo kipindi hiki elekeza akili kwenye kujitafuta.
Mahusiano ni liability kwa mwanaume lakini ni bora iyo liability uibebe ukiwa umeshajipata kuliko kuibeba ukiwa bado masikini.
Mkuu wewe si umeoa lakini?Nimeshaachana na wasichana wawili pisi kweli kweli kwasababu ya pesa
YAan inafika wakat unaona mtoto wa watu kuna vitu anavikosa kwasababu ya kuwa na mimi,unaamua kumruhusu akatafute machungio mengine huko kwa wenye nazo,ingawaje huwa ni kama hawatak kuondoka