Maisha hayako fair kabisa

Maisha hayako fair kabisa

👉Wanasoma journalism miaka mitatu wanakuja kuajiriwa watu wanaojua kuropoka na kuongea mada za udaku ambao ni fomfour failure
👉Watu wanasoma masomo ya biashara Chuo lakini matajiri wanakuja kuwa darasa la saba walioanza na vibiashara tu baada ya kufail darasa la saba
👉Watu wanasoma diplomasia na sheria lakini wanakuja kuwa wanasiasa watu wanaojua kubishana na kusifia tu ambao hawana elimu yoyote bali kuandika na kusoma

👉Watu wanasomea Muziki, na video production lakini madirector na wasanii wakubwa wanatoka mtaani wanakuja kuwa wakubwa

Hii haiko fair , ithamini sana talent yako
Bado haujasema, hata ndinga kali haziendeshwi na wasomi, zinakokotwa na wahuni tu wanaojuwa kumanipulate mfumo.

Mtaishia kuwaita Freemason.
 
Life doesn't follow the blueprint of a syllabus.

Usijiwekee mentality ya kwamba ukisoma utakuwa na maisha mazuri kuliko ambaye hajasoma.

Life will hit you hard.
Mwanangu Ebu punguza ukali wa 🤣🥶maneno yako Yanachoma sana umenikumbusha siku moja Rafiki angu yeye Ana elimu ya grade ya ualimu Yani certificate tu Hana Ata diploma lakini nimekaa nae akaja jamaa mmoja hivi mwenye degree tena Kaja na baiskeli Kaja kumkopa mwenzie milion kadhaa akajiendeleze na masters degree mwenzie certificate Ana magari mawili na nyumba kibao mjini🥶kuna ukweli

Lakini waliojaliwa wanasurvive kwa bima nzuri na mikopo ya uhakika mkuu
 
Kwenye maisha kuna kitu huitwa

"Area of shining"

Unaweza kusoma ualimu Ila ukawa star kupitia kuchoma nyama

Na aljyesomea upishi wa kuchoma nyama akawa star kupitia kufundisha.


wazungu huwa wanatabia ya kufanya sparking kwa watoto wao wakiwa bado wadogo.

Hawajitafuti Sana watoto wao.

Hao journalist waropakaji ambao hawajaenda shule wapo sahihi ndo maana wanaonekana maana Kama kuropoka tu ingekuwa ndo njia ya kuwa journalist watu wangeropoka Sana .
Yan watu wa kawaida wanakuja kufanya vitu vikubwa ambavyo hatujavitarajia
 
But naona watumishi hawapumilii mashine kama wafanyabiashara
take home yao ni uhakika sana take home ya mfanyabiashara ni ujanja na kudra za Mwenyezi Mungu
kaka unavoenda vitani unatakiwa ubebe dhana inayoendana na adui yako, elimu ni dhana ya kupambana na ujinga sio umaskini
 
👉Wanasoma journalism miaka mitatu wanakuja kuajiriwa watu wanaojua kuropoka na kuongea mada za udaku ambao ni fomfour failure
👉Watu wanasoma masomo ya biashara Chuo lakini matajiri wanakuja kuwa darasa la saba walioanza na vibiashara tu baada ya kufail darasa la saba
👉Watu wanasoma diplomasia na sheria lakini wanakuja kuwa wanasiasa watu wanaojua kubishana na kusifia tu ambao hawana elimu yoyote bali kuandika na kusoma

👉Watu wanasomea Muziki, na video production lakini madirector na wasanii wakubwa wanatoka mtaani wanakuja kuwa wakubwa

Hii haiko fair , ithamini sana talent yako
Ndio maana wanasema somea kitu ambacho una connection
 
Despline 🙅🏽 ( Mzee wangu Father Leo kaandika hivi , alinambia we need to be attentive and embrace despline.

Discipline√
Mkuu acha tuuu....
Yaani despline ni siri ya mafanikio yote..

Yaani hata kama ujaona mafanikio sasa hvi jua tuu graph yako inapanda tuu 📈 📈 📈 📈
 
Wanasoma journalism miaka mitatu wanakuja kuajiriwa watu wanaojua kuropoka na kuongea mada za udaku ambao ni fomfour failure

Watu wanasoma masomo ya biashara Chuo lakini matajiri wanakuja kuwa darasa la saba walioanza na vibiashara tu baada ya kufail darasa la saba

Watu wanasoma diplomasia na sheria lakini wanakuja kuwa wanasiasa watu wanaojua kubishana na kusifia tu ambao hawana elimu yoyote bali kuandika na kusoma

Watu wanasomea Muziki, na video production lakini madirector na wasanii wakubwa wanatoka mtaani wanakuja kuwa wakubwa

Hii haiko fair , ithamini sana talent yako
Mkuu, ulichoandika kinadhihirisha maisha yapo fair kabisa.

Maisha yanawapa fursa wasomi & wasiowasomi, bt kubweteka kwa baadhi ya wasomi kunawafanya wawe na mitizamo kama hii.
 
Mkuu, ulichoandika kinadhihirisha maisha yapo fair kabisa.

Maisha yanawapa fursa wasomi & wasiowasomi, bt kubweteka kwa baadhi ya wasomi kunawafanya wawe na mitizamo kama hii.
Kuna siku moja nikamuuliza boss mmoja hivi kwanini Kila muhula mnatangaza internship akanambia wanakwepa NSSF na kodi kadhaa, kwahyo hawa ajili sana wenye Profesional wanataka mtu mwenye njaaa na pesa
 
Back
Top Bottom