Ntozi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 226
- 300
Swali fikirishi;maisha kabla ya Uhuru yalikuweje? Kama baada ya Uhuru maisha ndiyo haya yakuhangaikasana,maji shida, ajira shida,umeme ni shida, ajira serikalini ni shida, mahitaji muhimu bei juu, soko la mazao ya mkulima siyo la uhakika,na tuko ndani ya Uhuru uliopiganiwa na mashujaa wazee wetu.sasa kabla ya Uhuru ilikuweje maisha?
Au labda Matunda ya Uhuru wanayapata wachache?Au ilitokea hulka tu kwamba mzungu asiwe kiongozi wa mtu mweusi?Bado najiuliza.
Au labda Matunda ya Uhuru wanayapata wachache?Au ilitokea hulka tu kwamba mzungu asiwe kiongozi wa mtu mweusi?Bado najiuliza.