Ni kweli wakoloni walifanya mambo wa uchache ila kwa ubora mkubwa. ni kheri ufanye jambo kwa ubora likamilike kuliko kufanya mengi yakiwa na upungufu mkubwa, sisi hatujali quality bali tunajali quantity.
Weee!! mzee funguka!! wao wanataka Waafrica muamini kuwa wao wazungu walikuwa/na still ni bora!!.... kwa hiyo mtu km wewe ndo wanakutaka! tena wanakupa na uraia kwao kabisaaa!!
Sisi Africans ni bora, tuna kitu usicho kijua ndo maana walitununua kwa karne nne mfululizo! Tangu enzi za Pharaos' wa Misri!!... mengi wametoa kwetu! ila hawataki ujue ulivo bora? wala kuona tuna panda!! wameweka mikakati ya kutudunisha! kwa njia ya nini cha kutupatia, wapi! lini, kwa nini! yote ni ili tusiwe juu tena!
km Rais wa kiafrica ukijifanya mjanja hutaki kujikomba kwao!! basi jua kabisa zako zinahesabika! wanakuua kwa vyovyote vile! mifano ni mingi ya viongozi wenye msimamo walio uawa! kwa kukataa, kujikomba kwao! Lumumba, jiwe, nkrumah, kwa uchache!
Well!! unataka kujenga miundo mbinu! Utaalamu wa Ramani, Malighafi, vifaa,nk, ukanunue kwa adui yako/ mkoloni? Gabachori?! ili uendelee kuliko yeye! akijua kabisa weye ndo uliye mpa hizo nguvu?? unadhani watakupa ili uwe bora? hujiulizi swali dogo hili???
Hata ukijifanya eti kutengeneza vya kwako ndo utaona moto wa blue!!...........na masimango meengi mara huna hati miliki, hii ume copy tulipe hutaki tunakuja kukuchapa!! mfano Gadafi aliuawa sababu ya kuimarisha maisha bora tu, ya walibya. hili pia huoni???????
Kumbuka ule ubora unaodhani walifanya ni kwa faida zao!! na watu wao!! hizo reli zilienda hadi mashamba ya mikonge ndani huko!!! ajili ya Kuboresha maisha ya watu wa Ulaya........ hatawalipo waachia walijua zitakufa!....wazee wetu wamejitahidi miundo mbinu hiyo ipo mpaka leo!
Jambo hili la kudumisha mabaki yao,mpakaleo yanatumika kwa ubora japo choka mbaya wenzako limewaacha midomo wazi, wazungu mpaka kesho..... mfano, Mv victoria, liemba, LOPISO ni Meli ya karne ya kumi na saba mto kongo inapiga kazi mpaka kesho!
Ikulu yetu, Bomani zetu, Maghala ya kikoloni, Musoma Hotel, Tabora Hotel nzuriiii! vimetunzwa mpaka kesho yana kula mzigo mpka kesho hayo hapo...........Tizama inavyo pendeza....
Wao sasa Ikulu ya Pharaoh kule Misri, Mijengo ya mfalme suleiman, Hekalu la Jerusalem, Golgotha!!. tumbuktu, Gomba zomba state house nk... wao walivo na mkono wa uharibifu waliharibu vyote dakika sifuri!! mpaka leo yamebaki magofu!!
Siri waliyo nayo ni hivi leo wanatamani kujifunza kutoka kwa Africans!!! kuhusu utunzaji wa Mali, ili zidumu, ila hujui tu!!
Mie huwaga nasema hivi!! Miafrica mmerogwa saaaaana hamjielewi!! na bila wewe mwenyewe kujitibu hkn dawa!...... utajitibuje sasa hapoooo ndo kazi ilipo........