Maisha magumu mitaani

Iwaay

Member
Joined
May 21, 2016
Posts
36
Reaction score
56
Serikali yenyewe ipo kimya tuu wa naona yanayoendelea ni Sawa tu, huku wananchi wanateseka.

Ukifika hospital za Serikali hakuna madawa, mfano hospital ya Wilaya ya Mbulu haina hata nyumba ya kihifadi maiti, wananchi wamelala Mika mpaka wamechoka.

Mafuta yamepanda tunaambiwa ni vita ya Ukraine na urusi, kila kitu kimepanda kutokana na bei za mafuta bado Serikali imeshindwa hata namna ya kupunguza hili ili angalau wananchi ambao ni wa piga kura wao wapate nafuu.

SWALI HAWA WANANCHI MASIKINI WA TANZANIA WATATETEWA NA KUSAIDIWA NA NANI?.
 
Bongo nyoso ...mi nataka niende Rwanda 🇷🇼
 
Tunapaswa kuingia mtaani watanzania tuache kulalamika.
 
Lengo la CCM ni kuona wananchi wanakamuliwa na Bei za juu na tozo ili wachache walambe chumvini na asali.
Suluhisho ni katiba mpya tuh.
 
fanyeni kazi
 
bila kuingia kitaani kukiwasha CCM itaendelea kuwatia vidole tu mpaka siku ya kiama
 
Tafuta pesa kijana maisha ni malaini tu!
 
Pesa ya Kukurahisishia Maisha yako yasiwe Magumu yote kapewa Producer wa Royal Tour Film hivyo kuwa Mvumilivu kwa sasa mpaka pale zitakapopatikana zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…