Blaros kida
Member
- Jan 29, 2013
- 50
- 2
Eti? Mbona hueleweki! Nakuomba urudie kusoma madaftari yako ya kiswahili hasa Utungaji. Maandishi yako hayana kichwa ,tumbo, wala miguu. Kumbe wazazi waligundua mapema kuwa utapata FFFFFF+.
JF imevamiwa![/QUOT
aaa may be ww hukunielewa
Sasa hii nini?Ujumbe wako ni nini kwa JF?Sio lazima upost kitu hata kama hakina maana,wewe soma za wengine upate utaalamu wa kuandika.Unaandika kama una kigugumizi bwana...Ni pale tu nilipomaliza standard 7 baba kanipeleka kuwa mechanic but somehow life lilinipiga nikaamua nirudi school ebwana school kwenye mambo ya ada yalichanganya wazazi halafu sio siri wazazi walikuwa wanachukulia kwamba na maliza fedha na hatimaye mwisho wangu utakuwa from four years fighting for food hivyo bora maisha ya kitaa au elimu kwa wakati huu(note elimu ni ufunguo wa maisha)