Maisha magumu sana jamani

Maisha magumu sana jamani

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka,ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana..hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo..

Hatuli vizuri,hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri...kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa(wanarudi kijijini)...mijini hakukaliki,kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi ,mikopo hailipiki madeni kila kona...stress tupu...hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu..hata hamu ya kula "chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake..

Hebu tupeane mbinu wakuu,wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Umeoa ?
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka,ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana..hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo..

Hatuli vizuri,hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri...kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa(wanarudi kijijini)...mijini hakukaliki,kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi ,mikopo hailipiki madeni kila kona...stress tupu...hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu..hata hamu ya kula "chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake..

Hebu tupeane mbinu wakuu,wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Yes kama huna kazi ya uhakika ya kuajiliwa na mtaji wako wa biashara ni mdogo aisee kazi unayo - pole sana.
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka,ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana..hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo..

Hatuli vizuri,hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri...kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa(wanarudi kijijini)...mijini hakukaliki,kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi ,mikopo hailipiki madeni kila kona...stress tupu...hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu..hata hamu ya kula "chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake..

Hebu tupeane mbinu wakuu,wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Mgosi, wakija Chawa wa mama watakutukana na kukukejeli! Lakini ulichokisema ni ukweli mtupu.

Hali mtaani ni ngumu. Hela haina thamani, ni ngumu kupatikana! Halafu vitu bei juu! Yaani ukiacha elfu 10 asubuhi, ukirudi jioni hakuna kilichobaki! Kiufupi hali ni tete kwa wananchi walio wengi.
 
Mgosi, wakija Chawa wa mama watakutukana na kukukejeli! Lakini ulichokisema ni ukweli mtupu.

Hali mtaani ni ngumu. Hela haina thamani, ni ngumu kupatikana! Halafu vitu bei juu! Yaani ukiacha elfu 10 asubuhi, ukirudi jioni hakuna kilichobaki! Kiufupi hali ni tete kwa wananchi walio wengi.
Sahihi kaka..
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka,ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana..hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo..

Hatuli vizuri,hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri...kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa(wanarudi kijijini)...mijini hakukaliki,kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi ,mikopo hailipiki madeni kila kona...stress tupu...hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu..hata hamu ya kula "chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake..

Hebu tupeane mbinu wakuu,wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Maisha hayajawahi kuwa mepesi wala magumu tangia kuumbwe kwa dunia ,maisha yapo balanced kama haupo kwenye chain lazima utaona magumu ,lazima upambane kusaka mkate ,hakuna siku umekaa hela ikakufata sebuleni.
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka,ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana..hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo..

Hatuli vizuri,hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri...kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa(wanarudi kijijini)...mijini hakukaliki,kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi ,mikopo hailipiki madeni kila kona...stress tupu...hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu..hata hamu ya kula "chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake..

Hebu tupeane mbinu wakuu,wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Shida ni nini watanzania wakati mchawi anajulikana? Ni CCM si mwingine, mtateseka sana mkiiacha CCM iendeleze makosa yake, badilisheni uongozi wa nchi hii watanzania, au mnataka kuendelea kuwasindikiza walaji wa nchi yetu? Tuache upole wa kijinga watanzania!
 
Back
Top Bottom