Maisha Magumu sana, Serikali ikataze Michango ya Harusi hasa watumishi, wanandoa wajidhamini

Maisha Magumu sana, Serikali ikataze Michango ya Harusi hasa watumishi, wanandoa wajidhamini

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Hali ya maisha haifai, kila kitu juu huku mishahara ikiwa chini na biashara kuwa ngumu sana.

Tozo kila mahali, mafuta ya nishati juu, yakupikia juu, pesa haionekani , athari ni kuzidi kuongeza gepu la matajiri na masikini, Hali hii inadidimiza zaidi masikini huku matajiri wakineemeka na kipanda vitu kwakuwa wanatengeneza faida mara dufu, tutakuwa kama sauzi muda c mrefu ambapo asilimia 10 tu ya watu ndo wanashikilia utajiri wa nchi yote huku asilimia 90 wakiwa ni manamba wakiwemo watumishi hoi wa Serikali.

Moja kati ya mambo yanayowatia umasikini watumishi wa uma ni Michango ya Harusi, na inawapa msongo mkubwa wa mawazo kwani hawana Hela na inabidi wachange kwani usipochanga unaweza kulogwa, kwahiyo Serikali kupitia wizara ya mambo ya kijamii inapaswa kukataza Michango hii na wale wanaooana basi wagaramikie ndoa zao, huu utamaduni ni WA kihuni na sijui uliingiaje nchini bila kupata kibali Cha Serikali.

Mshahara mpya ulivyotoka nilivizia ATM Moja wanaotumia sana watumishi wa umma hasa walimu na watumishi wa Afya, nilikaa Kwa muda mrefu Hadi walipopungua na nilifanya kuokota risiti Kwa wale walizoziacha na hawakuzichana, katika kuziangalia, kati ya risiti za ATM 20 nilizookota ni 2 tu zilikuwa zimevuka balance ya milioni Moja wengi wakichezea, laki tatu, nne, na nyingine. Ina maana Hawa watumishi kimarekani tunasema they living pay check to pay check, kwamba mshahara unaisha kabla mwingine haujatoka
 
Hali ya maisha haifai, kila kitu juu huku mishahara ikiwa chini na biashara kuwa ngumu sana.

Tozo kila mahali, mafuta ya nishati juu, yakupikia juu, pesa haionekani , athari ni kuzidi kuongeza gepu la matajiri na masikini, Hali hii inadidimiza zaidi masikini huku matajiri wakineemeka na kipanda vitu kwakuwa wanatengeneza faida mara dufu, tutakuwa kama sauzi muda c mrefu ambapo asilimia 10 tu ya watu ndo wanashikilia utajiri wa nchi yote huku asilimia 90 wakiwa ni manamba wakiwemo watumishi hoi wa Serikali.

Moja kati ya mambo yanayowatia umasikini watumishi wa uma ni Michango ya Harusi, na inawapa msongo mkubwa wa mawazo kwani hawana Hela na inabidi wachange kwani usipochanga unaweza kulogwa, kwahiyo Serikali kupitia wizara ya mambo ya kijamii inapaswa kukataza Michango hii na wale wanaooana basi wagaramikie ndoa zao, huu utamaduni ni WA kihuni na sijui uliingiaje nchini bila kupata kibali Cha Serikali.

Mshahara mpya ulivyotoka nilivizia ATM Moja wanaotumia sana watumishi wa umma hasa walimu na watumishi wa Afya, nilikaa Kwa muda mrefu Hadi walipopungua na nilifanya kuokota risiti Kwa wale walizoziacha na hawakuzichana, katika kuziangalia, kati ya risiti za ATM 20 nilizookota ni 2 tu zilikuwa zimevuka balance ya milioni Moja wengi wakichezea, laki tatu, nne, na nyingine. Ina maana Hawa watumishi kimarekani tunasema they living pay check to pay check, kwamba mshahara unaisha kabla mwingine haujatoka
Endelea kuokota risiti za ATM....!!
 
Serikali haiwezi kuingia mambo yetu binafsi
.tutachangiana TU kwani hiari....labda wakataze pombe kwanza ndo CHANZO Cha umaskini wetu
 
Kitu cha kuwasaidia watumishi labda baadhi ya huduma wapewe bure kama umeme na maji ila hii ya kuongeza mshahara halafu unaongeza makato ya ATM na kupandisha bei ya vifurushi na bidhaa ni uhuni wa hali ya juu .
 
Wiki iliyopita nimetoa laki na nusu kwa watu wawili yaani unafuatwa mpaka inbox eti Kama hauna hat pledge😃😃 nikaona nitoe mapema maana group limejaa meseji za kuchokozi eti wanasema asiyetoa shughuli yake hatochangiwa sasa Nan kasema watu wakioa watangaza makazini kama sio ushamba

Kazini hakuna urafiki usijaribu kuweka mambo yako wazi kabisa pale kufanya kazi na kusepa shobo zikizidi utakuja kuchomewa bila kujijua
 
Kitu cha kuwasaidia watumishi labda baadhi ya huduma wapewe bure kama umeme na maji ila hii ya kuongeza mshahara halafu unaongeza makato ya ATM na kupandisha bei ya vifurushi na bidhaa ni uhuni wa hali ya juu .
Na Mbususu wapewe bure kufubaza ukali wa maisha.
 
Hili ni jambo la kiutamaduni zaidi serikali haiwezi kufanya chochote. Ni wewe kuukataa tu huo utamaduni
 
Back
Top Bottom