Maisha, Mapenzi na Utajiri wa Alikiba; Kuna mengi ya kujifunza





Tutajenga viwanda kwelii...
 
Kwaio ali kiba habari zake haziwezi kuandikwa bila kumhusisha Diamond nadhani alikiba atakua ni kishazi tegemezi...
wote ni wasanii wakubwa hivyo ukimuongelea Diamond lazima umtaje ali na ukimuongelea ali lazima umtaje diamond
 
Anautajiri gani? Wakati anakaa kijumba kibovu pale segerea chama! Tena cha kupanga! Peleka propaganda zako hapa!
Naskia anaishi na ndgu zke wote humo ndani wkti nyumba ni ndogo tu,sebule yke ni pale kwetu pazuri utamkuta kule lounge na wauza sura wke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…