Maisha, Mapenzi na Utajiri wa Alikiba; Kuna mengi ya kujifunza

Maisha, Mapenzi na Utajiri wa Alikiba; Kuna mengi ya kujifunza

Huwa najiuliza sana na sipati jibu, hivi hizo nguo nyie vijana huwa mnazinunua madukani zikiwa hivyo hivyo? Manake juzi tu nimemwona kijana mmoja kavaa nguo za namna hiyo akanambia kuwa ni mpya..... Well, pamoja na kuwa niko nyuma ya muda ila hiyo ni ngumu kuimeza!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kwa utafiti huo hata mm tajiri, embu tafuta ditels zangu kama utazipata.
 
Kwa kutumia vigezo ulivyo tumia kuainisha utajiri wa Ali kiba, basi hata mimi ni tajiri kumbe. Nilikuwa sijijui kama mimi ni tajiri.
[emoji23][emoji4][emoji23][emoji23][emoji4]
 
nyumba ya kwanza ya king kiba aliijenga kwa pesa ya albam yake ya kwanza cinderela ambapo ilimuingizia kitu kama 200M watu wana vitu kaka ila hawana porojo na nahisi ndo uanaume.
umeongea point, tatizo watu wamesha kua na ile akili ya kubisha kila kitu ilimradi na wao waonekane
 
Anautajiri gani? Wakati anakaa kijumba kibovu pale segerea chama! Tena cha kupanga! Peleka propaganda zako hapa!
nyumba ya kwanza ya king kiba aliijenga kwa pesa ya albam yake ya kwanza cinderela ambapo ilimuingizia kitu kama 200M watu wana vitu kaka ila hawana porojo na nahisi ndo uanaume.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kwa utafiti huo hata mm tajiri, embu tafuta ditels zangu kama utazipata.
unaendesha gari gani kwanza tuanzie hapo, kama ni vitz au ist basi hata kwenye list ya top 10000 ya matajiri bongo haupo
 
Huwa najiuliza sana na sipati jibu, hivi hizo nguo nyie vijana huwa mnazinunua madukani zikiwa hivyo hivyo? Manake juzi tu nimemwona kijana mmoja kavaa nguo za namna hiyo akanambia kuwa ni mpya..... Well, pamoja na kuwa niko nyuma ya muda ila hiyo ni ngumu kuimeza!!!
Hahaha, waachie vijana bwana, hizo ndio fashion za kisasa
 
Today he drives a Ferrari, Jaguar, BMW and any luxury car suitable for Tanzanianroads
Mwee Ferrari??
 
View attachment 650126
Naan kama ilivyo kwa wengine pia mimi ni mpenzi mkubwa sana wa BongoFlavor, Na leo nilikua nafatilia kwa kina kuhusu lifestyle ya mwanamuziki ALIKIBA ambae kwa kawaida ni ngumu kujua details zake kutokana na usiri wake, nilishawahi kuandika hapo nyuma kuhusiana na msanii DIAMOND PLATNUMZ maisha yake na mafanikio yake katika muziki, na leo nikashawishika kumfuatilia ALIKIBA na kusema ukweli kuna mengi ya kujifunza kupitia huyu bwana mdogo,

Melezo katika video


Alikiba pia ni moja ya wasanii wenye mkwanja mrefu kuliko boss wako (napendaga kusema hivyo) na mafanikio yake yalianza kuonekana kuanzia mwaka 2014 alipoamka rasmi na kurudi kwenye game kwa kishindo na ngoma yake ya "MWANA" hapo ndipo milango yake ya mafanikio ikaanza kufunguka na matuzo ya kila pembe ya dunia hii yakaanza kumsogelea, pia ni katika kipindi hichi alikiba alijizolea mamilioni ya mashabiki japo wengi wa mashabiki zake wamemfuata kutokana na chuki walizonazo kwa mpinzani wake, yani DIAMOND PLATNUMZ,

Mafanikio ya alikiba pia yaliongezewa nguvu na ile deal aliyopata ya kujiunga na label kubwa kabisa ya muziki duniani yani "SONY MUSIC" hakuna anaejua amechota kiasi gani katika deal hii lakini kwa hakika ni mpunga mrefu,

Maisha yake ya mapenzi wengi wanafahamu ana watoto wanne na inasemekana kila mtoto na mama yake

Sitaki kuweka maneno mengi lakini mwisho niseme tu inapendeza na kutia moyo kuona vijana wetu wanapata mafanikio makubwa kutokana na kazi zao inatia moyo sana ukilinganisha na kipindi cha nyuma, kwasasa mziki wa tanzania unazalisha mamilionea kila kukicha ni kitu kizuri sana

mimi nimejifunza kila mtoto na mama yake kwa alikiba na hata dimond na mama kijacho wa dimond
 
Back
Top Bottom