Maisha matamu chukua chako mapema nimemfaulisha Mwanamke

Maisha matamu chukua chako mapema nimemfaulisha Mwanamke

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Amani iwe nanyi nyote wana JF,

Ama kweli katika maisha ni kufa kufaana, nikiwa nimetulia sehemu mitaa ya Dodoma Jiji, nakula kuku na kutuliza Koo kwa flying fish za moto, nikiwa na mtoto wa kisandawe pembeni, akaja mdau mmoja katupia suti kali sana na glass nyeusi.

Akanistua na kuniomba maongezi, mwamba kanichana makavu oya kuna mheshimiwa ana contact na huyo demu wako, nikastuka kivipi? mdau kasema usistuke huyu demu si anasoma pale udom social science nikajibu ndio.

Akasema nikweli huwa tunakuona nae ila mshua ana contact nae na anaomba kama hutojali uongee nae kama wanaume kiroho safi.

Bila hiana nikawaza wazee wa kitengo wakishapenda. Nikakubali boss akachukua seat kwenye meza nikaenda, fasta akanikaribishs kwa vibe moja kali la kininja na bashasha zote.

Akanichana hoya chalii najua yule demu wako ila kitambo nina crush nae nakuchana makavu naomba uniachie hio pisi, nikahamaki kivipi? Kanichana mi nakulipa uniachie huyo demu wako. Salale kuna watu wana jeuri, nikajibu poa sio mbaya jipe dau mwenyewe.

Dadadeki jamaa katoa Milioni 1 na nusu, nikaona isiwe tabu mapema sana nimeweka kwenye Mpesa , nikatimba nikamrudia demu, nikamchukua, nikaenda nae Kwa mshua, nikamchana, oya nakuongeza Heineken 5 na kuku nusu na chipsi tulia hapa na washua wangu, tulia na usifanye ushamba na uoga wowote ule mie narudi nikaongezee pesa.

Naamini mtoto wa kisandawe hawezi kuniangusha nimeondoka kisolemba huku nikiwa na vibe kama lote.

Maisha ni kushare na kushare ndio maisha nimeuza fursa maisha ndio haya haya.

Demu kitu gani bana ntapata mwingine huyu atakuwa bestie tu.

Hahahaaaa maisha matamu sana tuache ujeuri pisi zipo tuwasikilize wakubwa.


Wadiz kizuri ule na wakubwa.
 
Amani iwe nanyi nyote wana JF,

Ama kweli katika maisha ni kufa kufaana, nikiwa nimetulia sehemu mitaa ya Dodoma Jiji, nakula kuku na kutuliza Koo kwa flying fish za moto, nikiwa na mtoto wa kisandawe pembeni, akaja mdau mmoja katupia suti kali sana na glass nyeusi.

Akanistua na kuniomba maongezi, mwamba kanichana makavu oya kuna mheshimiwa ana contact na huyo demu wako, nikastuka kivipi? mdau kasema usistuke huyu demu si anasoma pale udom social science nikajibu ndio.

Akasema nikweli huwa tunakuona nae ila mshua ana contact nae na anaomba kama hutojali uongee nae kama wanaume kiroho safi.

Bila hiana nikawaza wazee wa kitengo wakishapenda. Nikakubali boss akachukua seat kwenye meza nikaenda, fasta akanikaribishs kwa vibe moja kali la kininja na bashasha zote.

Akanichana hoya chalii najua yule demu wako ila kitambo nina crush nae nakuchana makavu naomba uniachie hio pisi, nikahamaki kivipi? Kanichana mi nakulipa uniachie huyo demu wako. Salale kuna watu wana jeuri, nikajibu poa sio mbaya jipe dau mwenyewe.

Dadadeki jamaa katoa Milioni 1 na nusu, nikaona isiwe tabu mapema sana nimeweka kwenye Mpesa , nikatimba nikamrudia demu, nikamchukua, nikaenda nae Kwa mshua, nikamchana, oya nakuongeza Heineken 5 na kuku nusu na chipsi tulia hapa na washua wangu, tulia na usifanye ushamba na uoga wowote ule mie narudi nikaongezee pesa.

Naamini mtoto wa kisandawe hawezi kuniangusha nimeondoka kisolemba huku nikiwa na vibe kama lote.

Maisha ni kushare na kushare ndio maisha nimeuza fursa maisha ndio haya haya.

Demu kitu gani bana ntapata mwingine huyu atakuwa bestie tu.

Hahahaaaa maisha matamu sana tuache ujeuri pisi zipo tuwasikilize wakubwa.


Wadiz kizuri ule na wakubwa.
Nakupenda wewe na huyo bwana ako


Kumbe inawezekana
 
Amani iwe nanyi nyote wana JF,

Ama kweli katika maisha ni kufa kufaana, nikiwa nimetulia sehemu mitaa ya Dodoma Jiji, nakula kuku na kutuliza Koo kwa flying fish za moto, nikiwa na mtoto wa kisandawe pembeni, akaja mdau mmoja katupia suti kali sana na glass nyeusi.

Akanistua na kuniomba maongezi, mwamba kanichana makavu oya kuna mheshimiwa ana contact na huyo demu wako, nikastuka kivipi? mdau kasema usistuke huyu demu si anasoma pale udom social science nikajibu ndio.

Akasema nikweli huwa tunakuona nae ila mshua ana contact nae na anaomba kama hutojali uongee nae kama wanaume kiroho safi.

Bila hiana nikawaza wazee wa kitengo wakishapenda. Nikakubali boss akachukua seat kwenye meza nikaenda, fasta akanikaribishs kwa vibe moja kali la kininja na bashasha zote.

Akanichana hoya chalii najua yule demu wako ila kitambo nina crush nae nakuchana makavu naomba uniachie hio pisi, nikahamaki kivipi? Kanichana mi nakulipa uniachie huyo demu wako. Salale kuna watu wana jeuri, nikajibu poa sio mbaya jipe dau mwenyewe.

Dadadeki jamaa katoa Milioni 1 na nusu, nikaona isiwe tabu mapema sana nimeweka kwenye Mpesa , nikatimba nikamrudia demu, nikamchukua, nikaenda nae Kwa mshua, nikamchana, oya nakuongeza Heineken 5 na kuku nusu na chipsi tulia hapa na washua wangu, tulia na usifanye ushamba na uoga wowote ule mie narudi nikaongezee pesa.

Naamini mtoto wa kisandawe hawezi kuniangusha nimeondoka kisolemba huku nikiwa na vibe kama lote.

Maisha ni kushare na kushare ndio maisha nimeuza fursa maisha ndio haya haya.

Demu kitu gani bana ntapata mwingine huyu atakuwa bestie tu.

Hahahaaaa maisha matamu sana tuache ujeuri pisi zipo tuwasikilize wakubwa.


Wadiz kizuri ule na wakubwa.
Hii ya Leo ni ya maziwa
 
1125b4d2f0e0630c3e895507f07e373a.jpg
 
If she was my sister ningeumia sana, ila i remember my university life, kwa hiyo amount ninge muuza ila sio hapo hapo ingefika 3M labda. Akipata ngoma utalipia maishani hiyo karma
Don't panic bro for everything there is why and how, the kind of a chick she is and how I got to know her and the way I hooked up with her justify the end. Nimepata Embe dodo kwenye mnazi
 
Maisha ya kibaharia raha sana.
Nilikua na kadem ka kiarabu toka Tanga isee kazuri km queen Cleopatra.
Tatizo ndo hilo walugaluga na nyege zao unauza timu
Ukipata mtu amechutama usiwe mbishi hizi enzi ni za kutulia tu. Who knows life is easy and simple if you love peace
 
Though ni chai ila mfano ingetokea kweli ningelaumu kwa kuuza utu wa mtu kwa dau dogo bila hata kumpa tahadhari ya atumie kinga ili yakimkuta umuambie ulimkumkumbusha
 
Back
Top Bottom