Maisha matamu chukua chako mapema nimemfaulisha Mwanamke

Maisha matamu chukua chako mapema nimemfaulisha Mwanamke

Mbona sijawahi sikia 'demu wa SUA'
Mbona hujauliza IFM, UDSM, Na etc, hivi mimi ni WA kuchukua mademu vyuo vya wakulima sifanyi Utopolo huo, naachaje mzumbe kwa mfano. Mimi sio wa matopeni
 
Siku nyingine ukiwa bar epuka kunywa flying fish,desperado na savana . Mwanaume utakiwi kutumia hivyo vinywaji bwashee.Ndiyo maana jamaa kakupenda wewe na uyo dem
Nilikuwa na Hanson choice pembeni acha hizo
 
Don't panic bro for everything there is why and how, the kind of a chick she is and how I got to know her and the way I hooked up with her justify the end. Nimepata Embe dodo kwenye mnazi
I dont judge you know, ila make sure she wasn't raped thats all.
 
Though ni chai ila mfano ingetokea kweli ningelaumu kwa kuuza utu wa mtu kwa dau dogo bila hata kumpa tahadhari ya atumie kinga ili yakimkuta umuambie ulimkumkumbusha
Duduz una Cha kumfundisha, hivi unaona mchongo niliompa ni WA kitoto, huyo demu anafahamiana nae ila jamaa ametaka uhuru zaidi anataka amchukue mazima anajua utu na hekima huyo bro
 
I dont judge you know, ila make sure she wasn't raped thats all.
Demu anafahamiana na jamaa sema ukorofi wangu alikuwa anaongopa na kumbuka mimi nimekula kiapo cha kataa ndoa kataa kuoa kwa undani zaidi nimefanya jema sana
 
Jamani msinihumu hapa dodoma padogo sana tunajuana huku viwanja huyu mheshimiwa na demu wanafahamiana isipokuwa demu alikuwa mgumu sana Kwa jamaa kisa utata na ukorofi wangu.

Na huyu bro inaonekana ni mtu mmoja pisi sana kwa uwezo asingeshindwa kutumia umafia, ndiomana nimemkubalia fasta
 
Kichaa anachekesha ikiwa hatokei kwenu

Na imagine ni mdogo wangu wakike somewhere outhere wauni wanapasiana tu kama sabuni ya kipande yakuogea

Anyway,,,,tuvunjeeee fupaaa ingali bado meno ikoo
 
Kichaa anachekesha ikiwa hatokei kwenu

Na imagine ni mdogo wangu wakike somewhere outhere wauni wanapasiana tu kama sabuni ya kipande yakuogea

Anyway,,,,tuvunjeeee fupaaa ingali bado meno ikoo
Kwa hakika akili zitumike popote pale, ubishi haufai nimetii utu na upendo wake naenda kuichukua pisi moja pale humanities Ina vibe na mimi hatari nimetumia fursa ya kupangua bidhaa
 
Amani iwe nanyi nyote wana JF,

Ama kweli katika maisha ni kufa kufaana, nikiwa nimetulia sehemu mitaa ya Dodoma Jiji, nakula kuku na kutuliza Koo kwa flying fish za moto, nikiwa na mtoto wa kisandawe pembeni, akaja mdau mmoja katupia suti kali sana na glass nyeusi.

Akanistua na kuniomba maongezi, mwamba kanichana makavu oya kuna mheshimiwa ana contact na huyo demu wako, nikastuka kivipi? mdau kasema usistuke huyu demu si anasoma pale udom social science nikajibu ndio.

Akasema nikweli huwa tunakuona nae ila mshua ana contact nae na anaomba kama hutojali uongee nae kama wanaume kiroho safi.

Bila hiana nikawaza wazee wa kitengo wakishapenda. Nikakubali boss akachukua seat kwenye meza nikaenda, fasta akanikaribishs kwa vibe moja kali la kininja na bashasha zote.

Akanichana hoya chalii najua yule demu wako ila kitambo nina crush nae nakuchana makavu naomba uniachie hio pisi, nikahamaki kivipi? Kanichana mi nakulipa uniachie huyo demu wako. Salale kuna watu wana jeuri, nikajibu poa sio mbaya jipe dau mwenyewe.

Dadadeki jamaa katoa Milioni 1 na nusu, nikaona isiwe tabu mapema sana nimeweka kwenye Mpesa , nikatimba nikamrudia demu, nikamchukua, nikaenda nae Kwa mshua, nikamchana, oya nakuongeza Heineken 5 na kuku nusu na chipsi tulia hapa na washua wangu, tulia na usifanye ushamba na uoga wowote ule mie narudi nikaongezee pesa.

Naamini mtoto wa kisandawe hawezi kuniangusha nimeondoka kisolemba huku nikiwa na vibe kama lote.

Maisha ni kushare na kushare ndio maisha nimeuza fursa maisha ndio haya haya.

Demu kitu gani bana ntapata mwingine huyu atakuwa bestie tu.

Hahahaaaa maisha matamu sana tuache ujeuri pisi zipo tuwasikilize wakubwa.


Wadiz kizuri ule na wakubwa.
Akili zimekosekana
 
Akili zimekosekana
A woman is a liability so nimefanya awe asset especially cash in, am happy I have traded a woman, I can feel the joy of consigning a woman. Finally, I had a joyous mood loaded with cash. I felt such a transition being a transaction
 
A woman is a liability so nimefanya awe asset especially cash in, am happy I have traded a woman, I can feel the joy of consigning a woman. Finally, I had a joyous mood loaded with cash. I felt such a transition being a transaction
Kataa ndoa au vepe sheikh🤣🤣
 
If she was my sister ningeumia sana, ila i remember my university life, kwa hiyo amount ninge muuza ila sio hapo hapo ingefika 3M labda. Akipata ngoma utalipia maishani hiyo karma
Kwan alimshikia mguu wakati anakaangwa mkuu
 
Back
Top Bottom