princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
kwani uwongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapajua MAyotte[emoji23][emoji23][emoji23]Naona watu wame-panic ile mbaya!! Eti muziki ingekuwa sauti angemsaini Wema Sepetu.... dah! Eti jamaa anapiga show sehemu ambazo wengine wameishia kuzisoma kwenye jiografia na historia tu.....
kwani uwongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapajua MAyotte[emoji23][emoji23][emoji23]Naona watu wame-panic ile mbaya!! Eti muziki ingekuwa sauti angemsaini Wema Sepetu.... dah! Eti jamaa anapiga show sehemu ambazo wengine wameishia kuzisoma kwenye jiografia na historia tu.....
Amen... Hope wamesikiaKama vijana watanzania tunafikiria kama huyu jamaa, mafanikio na maisha mazuri tutayasikia kwenye radio. Wewe Wakuacha maisha mazuri yanatafutwa hayaji kwa bahati mbaya na hata yakija kwa bahati mbaya lazima uwe na discipline ya hali ya juu kumaintain hayo mafanikio na kujituma zaidi, hivi hujuulizi kwanini Kuna baadhi ya watoto wameachiwa mali kibao lkn baada ya kipindi kifupi wakawa masikini. Please change your mind from now la sivyo utakuwa kila siku mtu wa kulalamika, ukishamaliza hapo utanza kuwachukia waliofanikiwa. Sasa ukishafikia levo ya kujenga chuki, unayakaribisha magonjwa na unazifukuza neema na baraka za mungu, kwani mungu anawapenda watu ambao mioyo yao imejaa upendo mwisho wa siku umasikini unakuvaa. Badiliko mafanikio huja kwa kujituma, kupenda kile unachofanya na Kuwa na nidhamu ya matumizi.
ndizi za kizunguPaka akiwa mnene=Paka wa kizungu
Paka akikondeana mchafu=paka wa kiswahili
Mbwa akiwa na manyoya mazuri-mbwa wa kizungu
Mbwa akiwa mbaya-mbwa wa kiswahili
Mtu akiwa smart,tabia nzr -jamaa mzungu yule hana uswahili kabisa
Mtu mwenye tabia mbovu -ana mambo ya kiswahili Swahili
Mtu akiongea kiingereza-anaonekana smart,ana akili
Mtu akiongea lugha mama-anaonekana hajui,mshamba nk
Kitu chochote kibaya kinapewa jina la uswahili,kitu kizuri kinapewa uzungu
Inferiority complex
Wasengeli tu hao..wivu dooocom..huyo dimpozi bwabwa...nyimbo kaishiwa kazi kuonyesha dimpozi tu km demu.....Hivi kwann akiongea diamond mnaita uswahili, ichoicho akiongea dimpoz au kiba hamsemi, Leo dimpoz kapost uswahili mtupu tangu post ya ujanjaujanja na saiv kapost ya wema uswahili mtupu mmeona ya diamond2, mamaaer nyie
Wanatamani kam afe leo.....Mafanikio ya chibu yanawauma wengi kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo chacha hivi mtu mutie vidole machoni masikioni awaangalie tyyu...nae binadamu anaumiaaWivu ni kidonda ukishiriki utakonda.
Ulitaka awe mkenya?,mzungu?
Wivu tu unawasumbua akiongea yeye mnamwita mswahili wakiongea wengine wao wazungu eti!!??
Kwanza bibi atupe sifa tano za mswahili kwanza.....hili swali lilitutatizaga enzi hizo za umande!Shikamoo bibi.
Wewe ni mswahili wa wapi.
Kabisa,na hapo ndio kwanza kumekucha,watameza viwembeMafanikio ya chibu yanawauma wengi kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia mm mswahili kwasabu najua kiswahiliHivi haka ka jamaa mbona kaswahili sana,,Au hapo alipofika kimafanikio bado tu aamini. Anaongea pumba tu cloudz FM anatoa povu povu tu.
Et Tuanze show mkali nani ....mi najua we Alikiba haumuwezi hata mkianzisha hako ka Tour...Ommy eeehh muonesha kama we ni kidume anaza kumkanyaga yule naniii wake....M.k.u.le
Ila ww yalikuja vizuri emekua mzumguHivi haka ka jamaa mbona kaswahili sana,,Au hapo alipofika kimafanikio bado tu aamini. Anaongea pumba tu cloudz FM anatoa povu povu tu.
Et Tuanze show mkali nani ....mi najua we Alikiba haumuwezi hata mkianzisha hako ka Tour...Ommy eeehh muonesha kama we ni kidume anaza kumkanyaga yule naniii wake....M.k.u.le