Maisha Mazuri yakija kwa Bahati mbaya ukubwani lazima uwe mswahili kama Diamond

Maisha Mazuri yakija kwa Bahati mbaya ukubwani lazima uwe mswahili kama Diamond

Paka akiwa mnene=Paka wa kizungu

Paka akikondeana mchafu=paka wa kiswahili

Mbwa akiwa na manyoya mazuri-mbwa wa kizungu

Mbwa akiwa mbaya-mbwa wa kiswahili

Mtu akiwa smart,tabia nzr -jamaa mzungu yule hana uswahili kabisa

Mtu mwenye tabia mbovu -ana mambo ya kiswahili Swahili

Mtu akiongea kiingereza-anaonekana smart,ana akili

Mtu akiongea lugha mama-anaonekana hajui,mshamba nk

Kitu chochote kibaya kinapewa jina la uswahili,kitu kizuri kinapewa uzungu

Inferiority complex
Asante sana mkuu
 
Hivi haka ka jamaa mbona kaswahili sana,,Au hapo alipofika kimafanikio bado tu aamini. Anaongea pumba tu cloudz FM anatoa povu povu tu.

Et Tuanze show mkali nani ....mi najua we Alikiba haumuwezi hata mkianzisha hako ka Tour...Ommy eeehh muonesha kama we ni kidume anaza kumkanyaga yule naniii wake....M.k.u.le
Hahahahaaaaaaaaa ALIKIBA mkubwa sana kimuziki levo yake ni belle 9 tu.
 
Hivi kwann akiongea diamond mnaita uswahili, ichoicho akiongea dimpoz au kiba hamsemi, Leo dimpoz kapost uswahili mtupu tangu post ya ujanjaujanja na saiv kapost ya wema uswahili mtupu mmeona ya diamond2, mamaaer nyie
Mswahiliiiiii mtandale hahahaaa
 
Wanatamani kam afe leo.....
Na iikitokea katoweka duniani..he will still be diamond hata makumbusho sanamu lake litawekwa cz ndio msanii pekee aloitambulisha tz nje ya nchi...hao matako waende zao
Hata KENYA nje ya nchi bw Tofali usihadaike Hahahaaaa.
 
Tena atukome na uswahili wetu, ndio uliotukuza mpaka tulipofikia, and we really enjoy it. No culture like Swahili culture. Very friendly.
 
Uswahili ni kujadili mambo ya watu. Nadhani wewe pia ni kielelezo cha uswahili.
 
Na wewe sio mswahili mkuu mleta thread? Manake ukiwa mfatiliaji wa maisha ya mtu nawe ni mswahili...kwani hakunaga ishu zingne hadi kumjadili huyu jamaa...mwacheni afanye ishu zake...
 
Wote waswazi kuanzia huyo unaemkubali hadi huyo unaemchukia...usitake egemea pande moja kisa mahaba...wabongo wengi waswahili
 
Yanini jamaa anaongea mambo ya hovyo hovyo..sijui huyu diamond kaishia darasa la ngapi

Darasa la pili Lakini wewe mwenye Phd Na kuongea vizuri sana sijui nani anakujua.
Sasa ulizia huyu msanii watu wengi duniani wanamjua Na maisha siyo kama ya zamani.
Mola amzidishie sanaaaa tu
 
Wote waswazi kuanzia huyo unaemkubali hadi huyo unaemchukia...usitake egemea pande moja kisa mahaba...wabongo wengi waswahili

Sasa ulitegemea WaBongo wawe Wanaijeria Au wachina
 
Huyo mtoto Domo chizi kweli eti anataka mkali nani,wamekutana jukwaa moja mara tatu mzima na Mara zote anakalishwa na kupigwa makopo juu.Sasa sijui anataka nini ?!!Show za live hawezi kazi kuplay back sasa anataka kushindana na mshindi!!
 
Master's hata kuandika Kiswahili hujui...
By the way, hata kama una PhD haifuti ukweli kwamba umeajiriwa kwa cheti feki na ndio maana una stress! But all in all, Is it coincidence hiyo post hapo juu umefichua siri ya kutumia cheti fake mwaka 2010 na hatimae:
Tu-assume kwamba, mwaka 2011/2012 ulianza Form V kwahiyo ulimaliza VI kwa kutumia cheti feki 2013. Again, uongozi unakuacha tu usitumikie ajira yako bali uendelee kusoma na kwahiyo 2013/2014 Ukaanza First Year chuo Kikuu! Yaani mara hii una Master's? Jibu hapana, HAIWEZEKANI na kinachowezekana ni hiki hapa ambacho umeshakisema wewe mwenyewe:Halafu acha fix bhana... ushindwe kufaulu vizuri Form IV wakati unashinda darasani halafu uje kufaulu vizuri Form VI wakati unasoma kwa kuunga unga!!!

Shikamoo chige.Maana mtu akiwa muongo NI rahisi kusahau.ameleta ya Diamond yamekuwa ya kwake. JF mpaka raha
 
Back
Top Bottom