Maisha Mazuri yakija kwa Bahati mbaya ukubwani lazima uwe mswahili kama Diamond

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mashabiki wa Diamond munaongea kwa Fact kama msanii wenu Diamond[emoji23][emoji23]

Nimekuvulia kofia[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]
Na jamaa keshaanza kumwaga povu....
 
Sina hofu ya kutumbuliwa kwa kutumia cheti fake!
Najua unauwezo mdogo sana Wa kufikiri lakini tumia huo huo uwezo wako mdogo ulionao kufikiri je unafikiri kwamba.......nilichokiandika pale ni kweli...!?
 
Najua unauwezo mdogo sana Wa kufikiri lakini tumia huo huo uwezo wako mdogo ulionao kufikiri je unafikiri kwamba.......nilichokiandika pale ni kweli...!?
Ngoja nithibitishe ikiwa kweli hutumii cheti fake cha Form IV! Jibu maswali yafuatayo: What's Biology?! What's the difference between Biology and Zoology? What do you understand by Mfecane? Jibu hayo kwanza.....!!!!
 
Ngoja nithibitishe ikiwa kweli hutumii cheti fake cha Form IV! Jibu maswali yafuatayo: What's Biology?! What's the difference between Biology and Zoology? What do you understand by Mfecane? Jibu hayo kwanza.....!!!!
Ha ha ha ha ha ....
 
Na wewe ukome kutetea tabia za uswahili zisizo na maana. Mbona wewe hauishi kiswhali swahili? Ukome kuwapoteza watu kw akuwahamasisha tabia za kipumbavue!
Wewe mbona unaishi na Waswahili huko Mlandizi.

Baniani mbaya kiatu chake dawa?
 
Unafikiri form six na O'level pagumu wapi?!!!
Mi naona form six kutoboa ni simple sana.
 
hata lowassa walisema mgonjwa tukawaambia toeni wake zenu akawalale kama mgonjwa kweli,wote wakagwaya
 
Uswahili wake bado hakushindi wewe, kwa kuwa na muda mpaka wa kufatilia watu wa aina hiyo na mambo yao ni uswahili uliopita kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…