Maisha mbona magumu hivi?

Maisha mbona magumu hivi?

Jamani maisha ni magumu kwangu Tu? Au na nyinyi wenzangu.

Maana huumwaka naona kama nimechaguliwa kuwa wa mfano.

Napigakazi kama mbwa Ila pesa sina.kuzalaulika ndio mwingi.

Khaa eee mungu mwenyezi niokoe Mimi mwanao
Usiandike jina la Muumba wetu kwa herufi ndogo tumia herufi kubwa "MUNGU" su "Mungu",lkn sio mungu hii humaanisha wale miungu.
 
Jamani maisha ni magumu kwangu Tu? Au na nyinyi wenzangu.

Maana huu mwaka naona kama nimechaguliwa kuwa wa mfano.

Napiga kazi kama mbwa Ila pesa sina kuzalaulika ndio mwingi.

Khaa eee Mungu mwenyezi niokoe Mimi mwanao

Lazima tuelewe Dunia inapoenda. Bei zimepanda kila mahali Dunia hii kwa kipindi hiki hakuna sehemu ambayo uchumi unaenda vizuri hakuna!. Uchumi ni mzunguko na Urusi na vita vyake vimeongeza makali sana. Lakini vita vikiisha mambo yatapungua
 
Shukuru Mungu unajua unapoelekea baada ya kuoga na kupiga mswaki!😁
C
Kuna wenzio baada ya kurudisha mswaki na kuvaa wanarudi tena kupumzika kwenye kochi kisha wakinywa chai wanarudi chumbani. Ni hatua mbaya sana kwa binadamu ambaye amefikia umri wa utu uzima.
Ujumbe mzito sana huu
 
Jamani maisha ni magumu kwangu Tu? Au na nyinyi wenzangu.

Maana huu mwaka naona kama nimechaguliwa kuwa wa mfano.

Napiga kazi kama mbwa Ila pesa sina kuzalaulika ndio mwingi.

Khaa eee Mungu mwenyezi niokoe Mimi mwanao
Kajiunge na wenzako kupaza sauti zenu sijui kama mtagawana vya Serikali au laa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220629-221415.png
    Screenshot_20220629-221415.png
    239.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220629-221530.png
    Screenshot_20220629-221530.png
    121 KB · Views: 11
Back
Top Bottom