Maisha mbona magumu hivi?

MUNGU ndo anaepanga kila kitu... Juhudi zako katika kazi, madili na kila kitu ni kama sababu tu ambayo anaitumia kukufanya wewe ufanikiwe..
N.B kama hajakadilia iwe hivyo unavyotaka ww kwa muda huo... Hiko unachokipata ndo alichokukadilia..
#we shukuru tu [emoji41].. Dunia njia U heard?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…