Mr SGR
Member
- Apr 8, 2021
- 60
- 38
Habari wana JF, nimefanya application ya kwenda kusoma Masters nchini Indonesia kwa kutumia scholarship ya serikali ya Indonesia. Wakati napitia package ya Scholarship yao nmeona currency yao ni ndogo kuliko Tanzania(1 Ind rupee= 0.15 TZS).
Naomba ufafanuzi hapa kwa anayejua
1. Hizi pesa za hao jamaa zinatosha matumizi ya chakula, malazi na gharama zingine za utafiti?
2. Gharama za maisha kwa ujumla kule zikoje
NB:
Naomba ufafanuzi hapa kwa anayejua
1. Hizi pesa za hao jamaa zinatosha matumizi ya chakula, malazi na gharama zingine za utafiti?
2. Gharama za maisha kwa ujumla kule zikoje
NB: