thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
MAISHA NA MAAJABU YAKE
[emoji818]Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone
[emoji818]Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme
[emoji818]Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda
[emoji818]Aliyegundua pesa alikufa na madeni
[emoji818]Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani
[emoji818]Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi (jiulize aligundua ili kumpigia nani)
[emoji818]Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajili
[emoji818]Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe
[emoji818]anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda
[emoji818]Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama RuLa
MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA
#2021moods
[emoji818]Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone
[emoji818]Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme
[emoji818]Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda
[emoji818]Aliyegundua pesa alikufa na madeni
[emoji818]Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani
[emoji818]Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi (jiulize aligundua ili kumpigia nani)
[emoji818]Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajili
[emoji818]Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe
[emoji818]anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda
[emoji818]Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama RuLa
MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA
#2021moods