Pununkila
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 689
- 1,706
MAISHA NA MAAJABU YAKE
✔Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone
✔Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme🙉🙉
✔Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda🤓🤓
✔Aliyegundua pesa alikufa na madeni😪😪
✔Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani😜😜
✔Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)
✔Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajiri 😄😄
✔Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe🙊🤷♂️🤷♂️
✔anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda
✔Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama flat screen. 🤣🤣
MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA 🤪🤪🙉🙈 l
✔Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone
✔Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme🙉🙉
✔Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda🤓🤓
✔Aliyegundua pesa alikufa na madeni😪😪
✔Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani😜😜
✔Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)
✔Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajiri 😄😄
✔Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe🙊🤷♂️🤷♂️
✔anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda
✔Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama flat screen. 🤣🤣
MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA 🤪🤪🙉🙈 l