Maisha na maajabu yake

Maisha na maajabu yake

Pununkila

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
689
Reaction score
1,706
MAISHA NA MAAJABU YAKE

✔Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone

✔Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme🙉🙉

✔Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda🤓🤓

✔Aliyegundua pesa alikufa na madeni😪😪

✔Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani😜😜

✔Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)

✔Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajiri 😄😄

✔Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe🙊🤷‍♂️🤷‍♂️

✔anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda

✔Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama flat screen. 🤣🤣

MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA 🤪🤪🙉🙈 l
 
MAISHA NA MAAJABU YAKE

[emoji818]Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone

[emoji818]Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme[emoji86][emoji86]

[emoji818]Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda[emoji851][emoji851]

[emoji818]Aliyegundua pesa alikufa na madeni[emoji25][emoji25]

[emoji818]Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani[emoji12][emoji12]

[emoji818]Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)

[emoji818]Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajiri [emoji1][emoji1]

[emoji818]Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe[emoji87][emoji2369][emoji2369]

[emoji818]anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda

[emoji818]Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama flat screen. [emoji1787][emoji1787]

MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA [emoji2957][emoji2957][emoji86][emoji85] l
Mganga hajigangi
 
MAISHA NA MAAJABU YAKE

✔Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone

✔Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme🙉🙉

✔Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda🤓🤓

✔Aliyegundua pesa alikufa na madeni😪😪

✔Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani😜😜

✔Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)

✔Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajiri 😄😄

✔Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe🙊🤷‍♂️🤷‍♂️

✔anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda

✔Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama flat screen. 🤣🤣

MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA 🤪🤪🙉🙈 l
Mmliki wa kampuni ya IPHONE pia anatumia TECNO .... MAISHA AYA DAAAAH 😁😁😁
 
Ha ha ha...
JamiiForums1278984231.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom