Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

susha vitu mkuu niko hapa nasubiri baada ya iftari
 
Hii stori safi sana.. kuna mengi ya kujifunza hasa kwa nchi zenye machafuko..... Ndio maana raia wao wametapakaa kila kona duniani sababu ya ugumu wa maisha ukosefu wa amani katika nchi zao..
 
sasa na hapa mdogo wake na konda msafi bwana Torque vs HP anasemaje?? 😀😀😀
 
Tuliza shanga wewe,kariri hio story ukamhadithie na mumeo kama ulivyosema.
Oi mzee kausha basi, ushaona wadau hawapendezwi na comments zako haijalishi ni za kweli au uongo.
Kama unaona unaumia zaidi basi anzisha uzi wako na wewe ambao utaongelea hayo unayoyapinga then uattach humu tutausoma tu na sio kuharibu nyuzi za wenzio namna hii.
 
Ametumwa na konda
Kashajishibia futari huyo
 
Jimena njoo kuna sitori
 
Asante jemedari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…