Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Chai imeanza sasa.

Mwakibolwa alipambana na M23 na wala sio ADF.

We hadithia tu khs Safari yako hayo mengine utaanza kutunywesha chai ya motoooo.

Acha ujuaji, M23 ndiyo iyo ya Sultan Makenga ila ndani ya Congo kuna waaasi wengi mno wakiwemo ata ao Adf na wengineo sasa kuna wakati haujui unapigana na M23, au maimai au Naru au wengineo sasa unaweza jikuta unaisi unapigana na M23 kumbe unapigana na Maimai....na apa kwenye aya mapigano ya M23 akumbukwe General wa Congo marehemu mamadou Ndala
 
kuna mjinga mmoja anajifanya mjuaji humu anajifanya mwanajesh kisa kapewa gwanda na masufuria ya upishi
 

Simulizi inafikirisha sana...

Safi sana... Chapter Closed...
 
hhhaahaaa ama kweli kuna watu hamkati tamaa hapa duniani yanii bado mlikuwa mnaifuatilia hii story wazee niwaombe radhi sana sanaa sikuwa na simu kwa muda mrefu then nilikuwa nashughulikia kesi zetu za mirathi zikanivuruga akili nikasahau kuwa hata mimi ndo niliandika hii story1 kwa masikitiko makubwa ni Wahiidi kuwa akili ikitulia ntakuja kamalizie nilipoishia pia ntakuja na story mpya kuhusu hii ishu ya mirathi iliyokuwa imenitenga kabisa na jukwaa hili.asante sana na

stay tune..
 
Tunasubiri mkuu hii stori yako kama ilikuwa kweli basi umepitia mengi sana.
 
Sawa
 
Kweny tukio la jamaa kudandia gari Ata bongo yapo sana iyovi msimba na kitonga mara nyingi sana matukio hayo kipindi Cha nyuma yalitokea sana Kuna jamaa walimshushia godoro si chini ya mia mbili kweny scania pale kitonga anakuja kufika iringa town godoro zote wamepiga chini jamaa alikua analia kama mtoto ila na madereva wa IT mnakimbiza sana gari kipande Cha kutoka mikumi had Unafika Iringa mnapiga sana chini gari sjui wengi inakuwa ugeni wa njia au ila yoyote Kwa yoyote Rama alikua mjanja mjanja Sana siku na mim nitakuja na nyuzi ya matukio niwahi shudia wakati nikiwa utingo wa malori ya mizigo
 
Ukileta utushtue hapa mkuu
 
Tupo na wewe mkuu
 
Tunasubiria mkuu
 
Mwaka 2000 kulikua na tochi barabarani?
Nimeishia hapa kusoma,nshajua hii ni chai
 
Karibu sana mkuu tunakusubili.
 
bongo man wadau walijua kuwa wakati waasi wanauvamia ule mji walidhani na wewe umeondoka na maji kutokana na ukimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…