smsnzurizamapenzi
Member
- Sep 29, 2020
- 15
- 36
Maisha ni kama maua huchanua na kupukutika. Hata mapenzi ndivo yalivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah...huwa najiuliza sana hivi inawezekanaje mwanaume unakuwa na dem mmoja tu? [emoji2960]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah..kwa takwimu za 2019...Bongo kuna idadi ya watu wanaofikia 55milioni....wanaume 25m na wanawake ni 30m... Ukiwatoa walioko jela…wasio riziki… wendawazimu…..wanadini(Mapadri nk)…..wazee...wagonjwa na wenye hali mbaya kiuchumi wanabaki wanaume 5m tu ..nchi nzima …..kihisabati mwanaume mmoja kwa upungufu lazima awe na wanawake wanne 🤣 🤣🤭Kwanini awe nao wengi? Rohombaya