ha haa life is funny DC
siku zote watu 'they want what they cant have'
hata kama ni upuuzi tu
kweli lakini ni ngumu kuwajua maana binadamu ni walewale tofauti ni majina tuKweli maisha ni kitendawili
na leo nimethibitisha wengi hufa bila kutegua.....
hebu fikiria hiii
kuna wanawake na wasichana wangapi
ambao pengine walikuwa wako tayari kumpa 'faraja na amani na mapenzi ya kweli Kanumba'?
watakuwa ni weengi mno...maelfu na maelfu na mamilioni labda...
but tazama wanawake waliokuwa katika maisha yake
Wema Sepetu na wengine..
na mwisho akafia kwa kitoto Lulu.....
utasema hakuwahi 'kupendwa kikweli kweli na na mwanamke wa maana'
yet kuna miliions walikuwa probably wanamtaka.....awe their man forever....
maisha ni kitendawili......kikubwa....
inawezekana wewe au mimi pia tunahangaika kila siku na 'wapenzi wetu full micharuko'
hadi tunakata tamaa while kuna maelfu kila siku wanakutazama na kimoyomoyo wanasema
'ningempata mimi yule' dah....
mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko
think about it..........
inawezekana wewe au mimi pia tunahangaika kila siku na 'wapenzi wetu full micharuko'
hadi tunakata tamaa while kuna maelfu kila siku wanakutazama na kimoyomoyo wanasema
'ningempata mimi yule' dah....
mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko
think about it..........
Na hivyo ndivyo maisha yanavyopaswa yawe. Ndiyo maana idadi kubwa ya wanaume wanaishi na wanawake wasiowapenda but ndiyo waliokuwa available wakati wanatafuta wake wa kuoa, na kuna wanawake wanaoishi na wanaume wasiowapenda but ndiyo waliowatokea wakati huo wakiwa wanawatamani wengine. Na wapo pia ambao wameshindwa kabisa kuolewa au kuoa kutokana na kuendelea kumfikiria fulani na kuwakataa wote wanaojitokeza mbele yake. So huu ndiyo mfumo wa maisha ulivyo. Huwezi kuutegua.
unaempenda,hakupendi wala hajui kama unampenda,anaekupenda humpendi wala hutaki kumuonathe boss
siku zote maisha ni kitendawail tegua
maisha ni mtihani -kabiliana nao.
Mapenzi hayaeleweki ..huwezi jua nani anakupenda kweli na nani hakupendi
unayedhani anakupenda anaweza kuwa anakuenjoy
lakini mwisho wa yote ni mauti .
unaempenda,hakupendi wala hajui kama unampenda,anaekupenda humpendi wala hutaki kumuona
anaekupenda mwingine hata humjui
full mcharuko
unaempenda,hakupendi wala hajui kama unampenda,anaekupenda humpendi wala hutaki kumuona
anaekupenda mwingine hata humjui
full mcharuko
mapenzi ni kitu cha ajabu sanaunaona smile kama mungu siku moja angefua mioyo yenu na kuonyesha tunayoyawaza mmmh...mambo yangekuwa sio mambo..
mapenzi ni kitu cha ajabu sana
feelings? Achana nazo.unaweza kukaa na mtu basi tu umfeel wala nini,but i love u baby ni kwa sana mmmh angejua?
ukitaka furaha usimwamini mtu usiweke akiba yote ya mapenzi kwa mtu bakisha kidogoyaani huu moyo...kweli ni afadhari huwezi kusoma mawazo ya mtu..tungechanganyikiwa
dola gani wewe huna lolote endelea kudanganyikanitarudi hapa, hebu ngoja nimalizie misele ya kukamata dollar ya jk.
unaempenda,hakupendi wala hajui kama unampenda,anaekupenda humpendi wala hutaki kumuona
anaekupenda mwingine hata humjui
full mcharuko
mie sitakusukuma ila nina chupa ya jack daniels....karibu.
ukitaka furaha usimwamini mtu usiweke akiba yote ya mapenzi kwa mtu bakisha kidogo