Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
ha haa life is funny DC
siku zote watu 'they want what they cant have'
hata kama ni upuuzi tu
Hata mie huwa sielewi huyu kiumbe binadamu kaumbwaje...ukimpa vitu vizuri yeye ndipo anahangaika kutafuta maji taka!!
Anyway, ngoja niendelee kukaa kimya labda nitajifunza kitu zaidi....nipate mafuta ya kuzipaka hizi mvi zangu!!
Babu DC!!