Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweli, mtu chake hata kama ni kiota 😁[emoji16][emoji16]mtu chake bana
Ni kweli, hako hadi finishing hakapungui 4MNmeitoa mtandaoni lakni kwa uzoefu wangu kanaweza kuwa kwenye 5m
Haka kanaweza kuwa bei ganiJamaa kashahamia kwake hapo na kashaachana na mambo ya kodi aisee!View attachment 2078004
Ohoo!Maisha ni kuchagua mkuu! Mbona unamchagulia? Yeye kachagua gar na hicho kibanda unachoita[emoji23][emoji23]