Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Nakazia Nakazia
Nchi zilizojaa poverty kama zetu hizi mtu kunenepa ni dalili za kipato,wakati nchi serious watu wenye affluence ni wembamba na sio overweight kama hivi...
Magonjwa matupu kabeba hapo,still tunaona ndio affluence hiyo!