Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Wakuu..
Hiv maisha ndo yanaishia hapo tu au kuna la ziada... Maana naona watu weng accomplishment zao znacheza hapo.. So. Nauliza ni hapo tuu au? Kuna kitu na regret sana mim kama mim.. niko mbion angalau kukibadili. Well.. perhaps tumezaliwa kwenye land of no dream... Tunafanyaje sasa hapo.
Kama vijana na vikwazo viiing vilivyopo mbele yetu kiuchumi.. kujikwamua etc.. Je tunatokaje hapo... Au ndo kupambana? Mbona watu wanapambana snaa ila matokeo ni madogo mnoo.. (kwa legal things) Je wafanye illegal doings kufikia mahala fulan mapema..? Kwasasa bila connection kwa mazingira yetu ni ngum sana kutoboa... Je watu waluke vihunzi na kwenda tafuta oportunity kwingne?
Je tufanye hivyo? Mazingira ya kufanya biashara kwann yamekua magum sana kwenye maeneo yetu haya? Tatzo ni nin?.. Tukija kwenye ajira rasmi.. mbona progress ni hafifu sana... Maslah madogo mno. Je tufanyaje? Well mim binafsi nna maamuzi yangu fulan mwaka huu.. ni magum ila itabid yafanyike. Au labda mim siridhik na kidogo nilichpata.
Perhaps kwa wenzangu ni worse zaid.. Enewei.. nna mikakat mizito mwaka huu.. itabid itik tuu kwa namna yoyote. Au tuendelee kuvumilia?
Uzi tayar..
(Niko site hapa nikitekeleza majukum ya nchi.. joto.. jua kal had kichwa kinauma..)
Mawazo haya yamekuja gafla
Hiv maisha ndo yanaishia hapo tu au kuna la ziada... Maana naona watu weng accomplishment zao znacheza hapo.. So. Nauliza ni hapo tuu au? Kuna kitu na regret sana mim kama mim.. niko mbion angalau kukibadili. Well.. perhaps tumezaliwa kwenye land of no dream... Tunafanyaje sasa hapo.
Kama vijana na vikwazo viiing vilivyopo mbele yetu kiuchumi.. kujikwamua etc.. Je tunatokaje hapo... Au ndo kupambana? Mbona watu wanapambana snaa ila matokeo ni madogo mnoo.. (kwa legal things) Je wafanye illegal doings kufikia mahala fulan mapema..? Kwasasa bila connection kwa mazingira yetu ni ngum sana kutoboa... Je watu waluke vihunzi na kwenda tafuta oportunity kwingne?
Je tufanye hivyo? Mazingira ya kufanya biashara kwann yamekua magum sana kwenye maeneo yetu haya? Tatzo ni nin?.. Tukija kwenye ajira rasmi.. mbona progress ni hafifu sana... Maslah madogo mno. Je tufanyaje? Well mim binafsi nna maamuzi yangu fulan mwaka huu.. ni magum ila itabid yafanyike. Au labda mim siridhik na kidogo nilichpata.
Perhaps kwa wenzangu ni worse zaid.. Enewei.. nna mikakat mizito mwaka huu.. itabid itik tuu kwa namna yoyote. Au tuendelee kuvumilia?
Uzi tayar..
(Niko site hapa nikitekeleza majukum ya nchi.. joto.. jua kal had kichwa kinauma..)
Mawazo haya yamekuja gafla