Maisha ni kuzaliwa, kusoma, kupata kazi, kuoa/kuolewa, kupata watoto kisha yanaishia hapo au kuna kingine?

Maisha ni kuzaliwa, kusoma, kupata kazi, kuoa/kuolewa, kupata watoto kisha yanaishia hapo au kuna kingine?

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Wakuu..

Hiv maisha ndo yanaishia hapo tu au kuna la ziada... Maana naona watu weng accomplishment zao znacheza hapo.. So. Nauliza ni hapo tuu au? Kuna kitu na regret sana mim kama mim.. niko mbion angalau kukibadili. Well.. perhaps tumezaliwa kwenye land of no dream... Tunafanyaje sasa hapo.

Kama vijana na vikwazo viiing vilivyopo mbele yetu kiuchumi.. kujikwamua etc.. Je tunatokaje hapo... Au ndo kupambana? Mbona watu wanapambana snaa ila matokeo ni madogo mnoo.. (kwa legal things) Je wafanye illegal doings kufikia mahala fulan mapema..? Kwasasa bila connection kwa mazingira yetu ni ngum sana kutoboa... Je watu waluke vihunzi na kwenda tafuta oportunity kwingne?

Je tufanye hivyo? Mazingira ya kufanya biashara kwann yamekua magum sana kwenye maeneo yetu haya? Tatzo ni nin?.. Tukija kwenye ajira rasmi.. mbona progress ni hafifu sana... Maslah madogo mno. Je tufanyaje? Well mim binafsi nna maamuzi yangu fulan mwaka huu.. ni magum ila itabid yafanyike. Au labda mim siridhik na kidogo nilichpata.

Perhaps kwa wenzangu ni worse zaid.. Enewei.. nna mikakat mizito mwaka huu.. itabid itik tuu kwa namna yoyote. Au tuendelee kuvumilia?

Uzi tayar..

(Niko site hapa nikitekeleza majukum ya nchi.. joto.. jua kal had kichwa kinauma..)

Mawazo haya yamekuja gafla
 
Wakuu..

Hiv maisha ndo yanaishia hapo tu au kuna la ziada... Maana naona watu weng accomplishment zao znacheza hapo.. So. Nauliza ni hapo tuu au? Kuna kitu na regret sana mim kama mim.. niko mbion angalau kukibadili. Well.. perhaps tumezaliwa kwenye land of no dream... Tunafanyaje sasa hapo.

Kama vijana na vikwazo viiing vilivyopo mbele yetu kiuchumi.. kujikwamua etc.. Je tunatokaje hapo... Au ndo kupambana? Mbona watu wanapambana snaa ila matokeo ni madogo mnoo.. (kwa legal things) Je wafanye illegal doings kufikia mahala fulan mapema..? Kwasasa bila connection kwa mazingira yetu ni ngum sana kutoboa... Je watu waluke vihunzi na kwenda tafuta oportunity kwingne?

Je tufanye hivyo? Mazingira ya kufanya biashara kwann yamekua magum sana kwenye maeneo yetu haya? Tatzo ni nin?.. Tukija kwenye ajira rasmi.. mbona progress ni hafifu sana... Maslah madogo mno. Je tufanyaje? Well mim binafsi nna maamuzi yangu fulan mwaka huu.. ni magum ila itabid yafanyike. Au labda mim siridhik na kidogo nilichpata.

Perhaps kwa wenzangu ni worse zaid.. Enewei.. nna mikakat mizito mwaka huu.. itabid itik tuu kwa namna yoyote. Au tuendelee kuvumilia?

Uzi tayar..

(Niko site hapa nikitekeleza majukum ya nchi.. joto.. jua kal had kichwa kinauma..)

Mawazo haya yamekuja gafla
Ongeza na kula bata
 
kwa kifupi ni kwamba maisha hayana maana kama huna hela, na pesa nyingi zinapatikana katka dili haramu, na dili haramu hazipatikani bila connection kubwa....ingawa yote ni sawa na kujilisha upepo
Kwahyo tunafanyaje sasa mkuu
 
Yanaishia hapo mkuu wakati ukiwa unasubiri kuachia dunia wengine.
Mhh sidhan kama yanaishia hapo.. nna rafik yangu m1 ni m swiz... Hata uchumi nahis tuko sawa au nimempita.. ila yeye hana mtoto.. hana mke ana mademu tu.. yeye hela yake yoote anayopata.. ni kusafiri.. jamaa nadhan ameshasafir dunia nzima.. je ndo katika kutafta satisfaction au ndo kutafuta hyo accomplishment ya maisha...
 
kwa kifupi ni kwamba maisha hayana maana kama huna hela, na pesa nyingi zinapatikana katka dili haramu, na dili haramu hazipatikani bila connection kubwa....ingawa yote ni sawa na kujilisha upepo
Kama kweli vile ila siwashauri
 
Mhh sidhan kama yanaishia hapo.. nna rafik yangu m1 ni m swiz... Hata uchumi nahis tuko sawa au nimempita.. ila yeye hana mtoto.. hana mke ana mademu tu.. yeye hela yake yoote anayopata.. ni kusafiri.. jamaa nadhan ameshasafir dunia nzima.. je ndo katika kutafta satisfaction au ndo kutafuta hyo accomplishment ya maisha...
Mkuu ukishakuja duniani ni wewe kuchagua utakavyoishi na namna gani utaishi.
Kuna mfumo tuliwekewa na jamii kwa mfano kusoma, kupata kazi, kuoa/kuolewa, kuzaa etc. Haimaanishi usipoishi ndani ya huo mfumo basi maisha yako yanakua hayajakamilika.

Ukishazaliwa kinachofuata ni kufa. Kabla hujafa hakikisha unaishi ile namna ikupendezavyo kwa sababu hakuna manual ya kukuelekeza namna utaishi mpaka pale utakapokifikia kifo.

Huyo jamaa yako amechagua kuishi kwa namna yake wakati anasubiri kuhitimisha safari yake duniani.
 
Maisha ni kama ndoto tu, ota utakavyoota ila ikiingia asubuhi tu na ndoto yako inakua imeisha.
Haya maisha ni ubatili mtupu.
Seriously ukiyafikilia sana hayana maana kabisa.
Embu waza kidogo mtu aliyezaliwa mwaka 1970 ana muda mchache sana wakuishi ukiweka kando maradhi na mengineyo ambayo yanaweza kumfanya apoteze uhai

Wa 1980 naye hayuko mbali kufikia ukomo akiishi sana ni miaka 15 - 20 tu mbele hii ndio life expectancy yetu dah 😔
 
Haipaswi kuwa hivyo, there must be a special purpose you were created for,ila huijui, kama unaijua huiendei, kama unaindea huifikii ndipo tunaona maisha yetu yana ufa mkubwa sana, ukilijua lengo halisi la maisha yako hapa duniani utafikia maximum utilization of "you" na hapo ndipo utatapata the maximum satisfaction, utafurahia maisha.
Wachache sana wamepata bahati hiyo, wengi tunajisindikiza tu including me na ndio maana kuna wakati tukijitathmini tunaona kama vile maisha hayana maana wala thamani.

Ukiuliza kwa nini hatujui makusudi ya kuumbwa kwetu, jibu ni kuwa makusudi yetu yameibiwa, yamefichwa, yameharibiwa na muharibu tukingali tuli wadogo,kwa hiyo tunayembea kwa kupapasa papasa tu.
 
 
Back
Top Bottom